Julius Mtatiro Amewadanganya Waandishi Wa Habari Kuhusu Kupigwa Wanachama CUF!!!

Taarifa zilizonifikia Punde zinaonyesha kuwa Julius Mtatilo ni Kundi la Maalimu seif na aliye mshawishi Kuingia CUF ni Ismail Jussa!!!

ismail Jussa alitumwa na Maalimu seif kumutafuta Julius Mtatilo Wakati yupo UDSM kama maandalizi ya kumupata Mkristo wa Kumurithi Wilfred Lwakatare wakati Njama za Kumuondoa zimekamilika Kupitia Blueguds.

Maalim Seif amemuweka Mtatilo hapo Kama Kinga kwani anajua Waislamu CUF hawawezi kumushambulia Kuogopa UDINI!!!

Hata hivyo zipo taarifa kuwa maandamano ya kumtaka Mtatiro ajiuzulu yamepamba Moto na Jumatatu ijayo fika Makao Makuu ya CUF uone mapambano mapya !!!

Maalimu seif amepanga kuongea n a Wana CUF mkoa wa DSM siku ya Jumapili katika Hotel StarLight ambapo Wakristo wengi watakuwa Makanisani na Ukumbi huo ni Mdogo kiasi cha kuzuia wengine wasiingie!!!

Hofu yote hiyo ni kuzuia kundi la Hamad Rashid!!
Nashindwa kukuelewa unasema amepanga kufanya mkutano mda ambao wakristo wengi watakuwa makanisani halafu unasema lengo ni kuzuia kundi la H.R ina maana wakristo wengi wanamuunga mkono H.R?
 
Ha ha ha ha ha ha! CUF kweli kiboko! Naona wameamua kutumia yale majambia yao live. Hivi hawa wafuasi wa CUF hawamwogopi hata Mungu? Sidhani kama huyo Mungu wanaye!
 
Hizi habari za CUF, NCCR, TLP, UDP hata tuache kuzijadili kwa sababu ktk siasa za Tanzania hivi vyama havipo tena. Siyo vyama vya upinzani. Kiufupi ni kwamba vimefulia kisiasa na vimekufa na havitafufuka kamwe!
 
Du CUF hiyooo richojojo maskini wewe hakuna cha ngangari wala ngunguri mseto ndiyo umepelekea yote haya.
 
inaonesha namna gani wachangiaji wamechoka kweli kimawazo hawana wanaloongea lamaana. Badilikeni Cuf chama kubwa mmeoneshwa mpaka barua matawi yana vyofanya harakati mmeambiwa matawi ya cossovo je hamuoni ukweli hamad na seif wame make headline bado hamuoni kama chama kubwa leo mna muongelea mtatiro. toeni hoja za msingi sio kutoa matusi amakweli kama jf vijana mko hivi hamna hoja zamaana mmefulia mnai haribu jf.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom