KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Julius Mtatilo , Amewambia Waandishi wa Habari kuwa ,utaratibu wa kuitisha mkutano wa matawi ya Manzese na Mabibo haukufuata na Kwamba katika Mgogorio huo hamadi Rashidi Mohammed alikodi kundi la Wahuni kutoka CCM kuja kuleta Vurugu.
Ukweli ni Kwamba , Maalimu Seif amekwisha piga marufuku kusifanyike kikao chochote katika ngazi zote kitakacho mhusisha Hamad Rashidi na waraka huo wa kuoiga marufuku upo kwa Mketo unasubiri kusambazwa lakini unatekelezwa kwa Kidikiteta na MTATIRO!!
Ushahidi uliopatika unaonyesha kuwa Viongozi wa Matawi Husika walifuata taratibu zote za Cuf na barua zote zilipelekwa ofisi ya wilaya kama inavyo onyesha hapa kwenye Attachment!!!
Kitendo cha Mtatiro kudanganya umma ni aibu kwa kuwa anafanya kazi ya kuwa kibaraka wa Maalimu seif
Ukweli ni Kwamba , Maalimu Seif amekwisha piga marufuku kusifanyike kikao chochote katika ngazi zote kitakacho mhusisha Hamad Rashidi na waraka huo wa kuoiga marufuku upo kwa Mketo unasubiri kusambazwa lakini unatekelezwa kwa Kidikiteta na MTATIRO!!
Ushahidi uliopatika unaonyesha kuwa Viongozi wa Matawi Husika walifuata taratibu zote za Cuf na barua zote zilipelekwa ofisi ya wilaya kama inavyo onyesha hapa kwenye Attachment!!!
Kitendo cha Mtatiro kudanganya umma ni aibu kwa kuwa anafanya kazi ya kuwa kibaraka wa Maalimu seif