Julius Malema wa Tanzania yuko wapi?

Mkuu SR mbona unanishangaza!

Kweli kabisa unaamini kuna "juju making money"?... Binafsi natafsiri kama ni kijana fisadi na ana ujasiri wa kifisadi haswa!

Kama ni hivyo mi naona niwatakie mjadala mwema. Maana sasa hivi wataibuka wapambe wa Rostam, Lowasa, Maranda na mafisadi wengine tunaowajua na kusema watu wao wametumia "juju" kutengeza pesa ndefu chapchap.

Afrika inahitaji strong institutions na sio strong men ili ipige hatua kimaendeleo, kama alivyosema mchangiaji hapo juu.
 
Kwa upande wangu sioni chochote kibaya kuhusu huyu kijana Malema, wapinzani wake wametumia tu hiyo strategy ya kusema ana mali nyingi ili wammalize, siku zote katika mapambano kama haya lazima ukutane na vikwazo kama hivi. kama mali hizo kapata ki uhalali basi sioni ubaya wowote. Kwa Tanzania tunahitaji kijana kama malema wa kupigania usawa ndani ya jamii, isipokuwa vijana wetu wa sasa kusema kweli ni wameandaliwa kuwa mafisadi tu badala ya kuwatumikia wananchi. tunahitaji mtu mwenye mapenzi na nchi yake. sio umri.
 
Huyo malema ni kweli amejilimbikizia mali nyingi sana kwa kutumia madaraka aliyonayo! na anawatumia maskini kujineemesha mwizi tu hana lolote,

Tatizo la waafrica wa hapa south Africa wasio soma au tuseme wenye uelewa Mdogo wepesi sana kudanganyika na siasa za misisimuko au tuseme siasa za aina ya dini ya kilokole yaani siasa za misisimko.
Malema has crafted his campaign for "economic freedom in our lifetime" as a struggle similar to that waged by Nelson Mandela and his comrades to radicalise an ANC that would not take up the armed struggle in the 1950s even as apartheid became increasingly entrenched and bitter. In the squatter camp on Saturday, he cast himself as a martyr: "If we have come to the end, let it be so. If you are angry with Julius, don't destroy the ANC Youth League. It doesn't belong to Julius … but because you do not come from the youth league, because you know nothing about the politics of the ANC, you want to destroy the work of Nelson Mandela."
He then cut a cake delivered in a Porsche by a celebrity known for eating sushi off naked women. The crowd loved it.
This is part of the contradiction of Malema. Even as he is vilified by the press for his association with crass celebrities and the flaunting of his incredible wealth with inexplicable origins,ordinary people say "what's wrong with Juju making money". In him, many see themselves. In him, many see a man who takes on an untransformed South Africa and champions their cause.
​Is Julius Malema South Africa's president in waiting? | Justice Malala | World news | The Guardian
 
Tanzania haihitaji malema wa aina yeyote ile. Katika miaka 50 tumejifunza mambo mengi ya kutosha. Tulianza na Nyerere ambaye hakuna asiyejua alivyokuwa na kipaji cha akili, kujieleza, na mvuto kwa watu. Hakupenda kuiba mali wala kukumbatia wezi. Lakini naye alikuwa na udhaifu kama binadamu yeyote. Fumba na kufumbua alizungukwa na wapambe ambao kazi yao ilikuwa ni kumsifia na kumzuia asione jinsi mambo yalivyokuwa yanakwenda mrama. Mambo yalipozidi ilibidi abwage manyanga akiiacha nchi ikiwa hoi kabisa kabisa.

Akaja Mzee Mwinyi amabaye naye alijaribu kujitahidi lakini alielemewa na matatizo ya nchi aliyoyarithi. Alikuwa na mchango wake lakini alifungua mianya mingi ya ufisadi. Alipoulizwa kuhusu hillo alisema alipoingia alikuta hewa akiwa nzito sana, na kweli ilikuwa nzito. kwa mara ya kwanza Mtanzania aliweza kusema Rais hana akili. Alijaribu kufungua madirisha ili angalau kupatikane hewa nzuri. Madirisha yalikuwa hayana wavu ikaingia hewa na wadudu wengine. Wananchi waliamua kumpa ufagio wa chuma ili afagio hao wadudu walioingia nusura umfagie na yeye mwenyewe. Akaiiacha nchi ikiwa hoi kabisa.

Akaja Benjamin Mkapa kwa tiketi ya Mr. Clean na kukuta nchi haina kitu na haikopesheki. Alijitahidi kufanya kila kitu angalao nchi iwe na chochote. Safari ilikuwa ngumu kwelikweli. Akaitwa Mr. Ukapa. Mwisho wa siku aliweza kufuta kabisa kile kiiikitio cha wimbo wa wanasiasa wa Tanzania: "Tatizo la Pesa za Kigeni". Leo hatusikii kabisa wimbo huo. Alipoondoka angalau Tanzania ilikuwa na kiasi cha kutosha cha pesa za kigeni. Mkapa naye alishutumiwa kwa mambo mengi. Aliuza mashirika yetu kwa chee kabisa. Hilo mimi mpaka kesho siintamlaumu kwani mashirika yale yalikuwa hayana faida yeyote kwa mtanzania ila kwa mafisadi wachache na familia zao. Hata hivyo namlaumu kabisa kwa yeye kujiuzia mali za taifa au kuuza nyumba za serikali au magari ya serikali kwa watu aliowataka yeye. Huo ni ufisadi mkubwa sa. Hata mimi ambaye sifanyi kazi serikalini ilitakiwa nipewe nafasi ya kununua hizo nyumba au hayo magari. "Mr. Clean could not come out clean from the presidency".

Ikaingia enzi ya Mr. Kikwete. Sijui amefanya nini cha maana ambacho ni kigumu na chakuweza kukumbukwa nacho. Kujenga UDOM ni rahisi kwani pesa zilikuwepo. Hazikuwa za kutafuta. Labda elimu ya sekondari kila kata. Lakini Kikwete atakumbukwa kwa mambo mawili makuu, yote ni mabaya. Kigugumizi cha kukemea ufisadi, duluma na rushwa iliyokithiri. Kwa kweli mpaka leo napenda kuamini kuwa Kikwete si fisadi lakini nashindwa kuelewa kwa nini anapata kigugumizi cha kukemea ufisadi. Kitu kingine ni tatizo la umeme. Tokea Tanzania ipate uhuru hatujapata tatizo la umeme kama la hivi leo (kidogo ilitokea wakti wa Mze Mwinyi ikaletwa IPTL). Umeme ulikuwepo tu. Leo Tanesco imekwisha kabisa. Enzi za Nyerere mashirika mengi yalikuwa ovyo ovyo tu isipokuwa Tanesco. Kila Mtanzania alijivunia shirika hilo. Tanesco iliheshimika sana sana na Watanzania wengi walikuwa na shauku ya kumwona kwa macho Mr. Mosha ambaye alikuwa ndiye Meneja Mkuu. Mitambo mipya ilijengwa kabla ya wananchi kuona kuwa umeme hautoshi. Leo hii nch ina pesa za kutosha kabisa lakini inashindwa kutazama mbali. Aibu tupu.

Nimesema mengi mno. Lakini nahitimisha kwa kusema nilichojifunza ni kuwa Tanzania hatuhitaji kuongozwa na "mtu" ambaye atakuwa na nguvu za kuchagua marafiki watakaomzunguka na kuwa na uwezo wa kufanya chochote anachotaka huku sisi tukiwa hatuna kabisa nguvu za kumzuia au kumshtaki. Tanzania inatakiwa kuongozwa kwa "katiba" mpya. Katiba hiyo ipunguze kabisa nguzu za Rais kwa mfano za kuamua kuwa na kigugumizi, kuamua kuvunja sheria, kuchagua jai mkuu, kuchagua "Chief Prosecutor", kuweka Tume ya Kuzuia Rushwa chini ya ofisi yake, n.k. Bunge lipewe nguvu zaidi.

Nakupa pole kama umesoma yote niliyoandika.
 
Kipindi kile Nape alipokuwa mstari wa mbele kupambana na mafisadi nilikuwa na matumaini kuwa anaweza kuwa mfano wa Malema, lakini alivyokuja kugeuka sikuweza kabisa kumuelewa mpaka leo hii bado nipo kwenye mshangao!!
 
Sorry to rain in your parade, the truth is politics will never save this country. Mfumo wowote unao-rely on politics is bound to fail. We are in trick situation which needs very delicate intelligence and quiet mind, not some demagogues and populist who attract masses by doing some cheap talking ..talking ..talking and more talking.
 
Sorry to rain in your parade, the truth is politics will never save this country. Mfumo wowote unao-rely on politics is bound to fail. We are in trick situation which needs very delicate intelligence and quiet mind, not some demagogues and populist who attract masses by doing some cheap talking ..talking ..talking and more talking.

You are doing the same talking..talking and more talking...

Huo mfumo usi-rely politics unatoka wapi? uko wapi? nani ataanzisha?... go on talking..
 
You are doing the same talking..talking and more talking...

Huo mfumo usi-rely politics unatoka wapi? uko wapi? nani ataanzisha?... go on talking..

Of coz post yangu is above your little tiny Muhamadic understanding, just pass it.
 
We don't have any one who is coming closer to Julius Malema's intrepidness, neither in CCM nor in the opposition. Most of the so called anti-corruption crusaders in the assembly like Zitto and the like have just creeped into politics with nothing but an irresistible affinity for filthy riches found there. They pretend to voice their choler against corruption while they lack a genuine will inside, and as things turns out, the same campaigners hits headlines on graft issues. I think Tanzania is ways off before getting our own Julius Malema.
 
Of coz post yangu is above your little tiny Muhamadic understanding, just pass it.

Na wewe unaweza ku-understand chochote..vitu vidogo kama jesus is not god unashindwa itachukua karne kuelewa "Great Philosophy of Muhammad (PBUH).
 
Hey wana JF! Siasa ya Tanzania bado ni siasa ya tumbo na ni vugumu kumpata Malema tunayemfahamu. Yuko wapi Zitto, hao wa sisiem ndio kabisa hakuna hata kivuli chake. Mnyika bado hajaonyesha cheche na maamuzi magumu ya kumfananisha na Malema.
 
Na wewe unaweza ku-understand chochote..vitu vidogo kama jesus is not god unashindwa itachukua karne kuelewa "Great Philosophy of Muhammad (PBUH).
Ur cult overzealotry is misplaced..kama unataka kuleta mambo yenu ya dini za kuchonga zilizoanzishwa na watu wasiojua kusoma na kuandika, walokuwa wakiishi mapangoni na kutawadha kwa kutumia mawe, whom I wouldn't let them near my son, let alone my daughter due to their pedofilic inclinations, utafanya la maana ukienda kule kwene jukwaa lenu la myths wenyewe mnaita 'dini na imani'. nadhani kuna watu watakuskiza..hapa umepotea njia bw. Mkamua Kinyesi Maiti (MKM).
 
Julius-Malema-007.jpg





As much as baadhi ya watu humu wapenda status quo lakini ukweli uko pale pale.

We are tired of these political elites ambao ni mzao wa Nyerere. watu wana miaka zaidi ya 60 lakini utawaona kwenye front bench politics na hawaishi ku play politics mpaka na uchumi

Kwa nchi ambayo 70% ya population ni vijana wenye chini ya miaka 30 its a disgrace kuona over 90% ya viongozi wake (ambao so far wametufikisha kwenye hii balaa ndio wamejikita kila kona) wana umri uliozidi 60 na kuendelea

Imagine the likes of wasira au Anna Abdallah au etc ni kama ma dinosaurs na utashangaa kuona watu bila aibu wala haya wanakuja humu JF kumfanyia kampeni Lowassa aje kuwa rais baada ya ku mess up alipokuwa madarakani

Binafsi nadhani wananchi have had enough of these old men and their oldboy network, tukaachana na mambo ya kuwapa nafasi wanawake kwa sababu tuu ya jinsia na politcal correctness na pia tukaacha hizi party politics ambazo hazitufikishi mahala

Nashauri kama wapo the likes of Julius Malema ambaye jana gazeti la Forbes limemtabiria kuwa anaweza kuja kuwa the next SA President simply because wananchi have had enough of those from elite backgrounds that are out of touch na wananchi wa kawaida

To be honest I care less na chama atakachotoka the next Julius Malema wetu awe CCM au CHADEMA au CUF, I care less as long as huyo mtu ni below 35 years na ambao wana uwezo.

Mkuu sijui lengo lako ni nini. Kama unataka kijana mwenye umri wa miaka 31 kama Julius Malema anayeweza kuamsha moyo wa watu kuipenda nchi yao naweza kukubaliana nayo.

Lakini baada ya kuangalia CV ya Julius Malema na kuona ni mbaya kupita kiasi, na baada ya kuona jamaa ni racist kuliko hata Botha, baada ya kuona anafananafanana na hali ya kupanda kwa Hitler, baada ya kuona kuwa hate politics anazoleta zimesababisha Afrika Kusini kupoteza wawekezaji wengi, baada ya kuona jamaa ni fisadi (yaani anapata pesa kwa kuwatishia watu na kuiba hela za chama-ili na yeye akae kimya kwa kuwa anajua wakubwa wameiba nini), baada ya kusikia anajenga nyumba ya Rand milioni 16 yenye bunker, sijui lengo ni nini, baada ya kusikia kuwa jamaa bila kujua maana ya sovereign country ni nini (alisema atatuma jeshi kuwasaidia wapinzani Botswana kuondoa serikali anayodai kuwa inawaunga mkono mabeberu, yaani hajui hata kuwa nchi yake Afrika Kusini ni beberu pia), baada ya kuona kuwa anatumia kipaji cha kuongea lakini hana vision yoyote.......naona mungu kuwa Tanzania asitokee mtu kama yeye. Naomba Mungu hata siku moja asijetokea mtu mwenye akili za ajabu kama Julius Malema.

Alikuwepo Mzee Idd Simba, alikuwa anajaribu kuleta ubaguzi kwa kisingizio cha sera ya uzawa, lakini bahatai alipuuzwa. So ni better iishie hapo, isiendelee.Malema ni hatari. Huu ni mtazamo wangu.
 
Ur cult overzealotry is misplaced..kama unataka kuleta mambo yenu ya dini za kuchonga zilizoanzishwa na watu wasiojua kusoma na kuandika, walokuwa wakiishi mapangoni na kutawadha kwa kutumia mawe, whom I wouldn't let them near my son, let alone my daughter due to their pedofilic inclinations, utafanya la maana ukienda kule kwene jukwaa lenu la myths wenyewe mnaita 'dini na imani'. nadhani kuna watu watakuskiza..hapa umepotea njia bw. Mkamua Kinyesi Maiti (MKM).

Well umejitahidi sana kueleza jinsi ulivyo misplace and mis-informed, sunday school at work..ya kuambia na padre changanya kidogo na yako au tafuta vitabu..ushauri wa bure..period..
Uko low sana kiakili I am done with u.
 
Well umejitahidi sana kueleza jinsi ulivyo misplace and mis-informed, sunday school at work..ya kuambia na padre changanya kidogo na yako au tafuta vitabu..ushauri wa bure..period..
Uko low sana kiakili I am done with u.
lol..dude kajifunze kwanza ku-type na uje na hoja. Jipange kisha urejee.
 
Kitakachoiokoa nchi hii ni taasisi au asasi zenye nguvu sio mtu au watu wenye nguvu. Akina Rostam na Lowassa walikuwa na nguvu sana mwaka 2005. Wakatupatia JK. Nyote humu mnalia nae. Haya, huyo Malema mwenyewe alihakikisha JZ anakuwa Rais huko kwao. Sasa anataka kumgeuka tena![/QU

No kweli ni kijana wa Jacob zuma lakini ni mkweli,kwake maslahi ya taifa kwanza,ujambo unafuata baadae.
 
Back
Top Bottom