Julius Kambarage Nyerere Biography

kwanini umeileta Jf kama hutaki kuweka mambo sawa? si ungekaa nayo moyoni au ungewatumia nduguzo......JF we dare to talk openly hio usiifanye bonge la ishu saaana hata docs za usalama zinawekwa JF sembuse hio......acha bana

sawa nimekusikia nitawatumia ndugu zangu!..thank you for the advice!.

god bless you!
 
kama ni issue siriaz, mwaga anuani hapa na complete info kisha acha wabongo wahangaike nayo kivyao[/B]. haya masuala ya kutafuniana mapaka chakula kinakuwa rojo ni ya kizamani.
nakupa hongera kwa kusaka opportunity ila nakushauri be open kuidistribute kwa wadau.

Nadhani Msanii anashauri utoe hapa JF source ya hiyo 'fursa' uliyotudokeza k.m. website, University's call for Nyerere's Bibliography, newspaper advert n.k. ili wasomaji wote waone wenyewe. Kwa baadhi yetu, hilo sharti la kukuletea "wewe" email na ku-discuss inaleta dhana kama vile ni "mradi" wako au ni mada ya siri (mimi siamini if that's yr hidden agenda). Kwa vile umekuwa jasiri na mwenye nia safi ni vizuri zaidi ukitupatia hizo details uwanjani hapa JF kama tulivyozoea (lakini sikulazimishi).
 
Apparently it seems like kuna watu are having hard time to believe ok this is what i will do nimemwandikia issue nzima Invisible yeye ataweka habari kamili hapo.....then mwenye nia atajimwaga manyanga kumbuka lazima uwe na MA sociology ama Politiko studies kutoka kwenye reputable university....
alafu unataka uongozi wa juu taifani....wewe umeshindwa nini ku copy na ku paste...anyway naisubiri ya inv ila isiwe na mtu sijui tumuandikie then atu connect na hao Edinburgian....
 
alafu unataka uongozi wa juu taifani....wewe umeshindwa nini ku copy na ku paste...anyway naisubiri ya inv ila isiwe na mtu sijui tumuandikie then atu connect na hao Edinburgian....

wala sijasema nataka uongozi wa juu taifani...you are putting words into my mouth!....
 
....unajua kuna wakati wa utani na kuna wakati wa kuwa serious and i am very serious in this matter (with ndita and my glasses on)

well well natamani kukuona ili nihesabu hiyo mistari ya ndita... (kama hiyo ndo picha yako kweli)
 
This is very serious and its really not a joke pleaseeee! (highly important!!)

Kuna maprofesor kutoka University of Endiburgh nimekutana nao jana wanatafutaa Mtanzania anayeweza kuandika Bibliography ya Mwalimu Nyerere in 3yrs time, his leadership na legacy yake kwa ujumla...............
Nnzafula aka Kelly01

Do they want someone to write a BIOGRAPHY, or BIBLIOGRAPHY?
Please clarify...
 
Nadhani Msanii anashauri utoe hapa JF source ya hiyo 'fursa' uliyotudokeza k.m. website, University's call for Nyerere's Bibliography, newspaper advert n.k. ili wasomaji wote waone wenyewe. Kwa baadhi yetu, hilo sharti la kukuletea "wewe" email na ku-discuss inaleta dhana kama vile ni "mradi" wako au ni mada ya siri (mimi siamini if that's yr hidden agenda). Kwa vile umekuwa jasiri na mwenye nia safi ni vizuri zaidi ukitupatia hizo details uwanjani hapa JF kama tulivyozoea (lakini sikulazimishi).

Mzee ungetumia muda kidogo kufikiri ungeona Kelly01 ameweka wazi amekutana na hawa jamaa kwenye informal gathering, kwa kujua ni Mtz basi wakampa hiyo issue...sasa ugumu wa kuelelewa na wepesi wa kusahau ndo unakusumbua hapa....
 
Kelly,
On a serious note maana sijawahi kuleta utani kwenye serious issues, kuna watu wako very much interested to jump onto this opportunity which personally I take as an honour given the importance of the subject of the study.
One clarification though...wanataka mtu aandike:
1[B]."Biography" [/B]which is an account of a person's life written, composed, or produced by another
au kama ulivyosema wewe
2. "Bibliography" which is the description of books:
(i) a systematic list of writings by a given author or on a given subject;
(ii) the study of books as material objects, involving technical analysis of paper, printing methods, bindings, page numbering, and publishing history.
Naomba huo ufafanuzi kabla ya kuamua kujitosa.
 
...Yes ni Picha yangu ya kweli!...

My my, kama hujaolewa basi mumeo anafaidi kweli kweli.
niruhusu picha yako nikaiweke bafuni kwangu japo one week.
....Thanx kwa kunielewa kuhusu Biography ya Nyerere and i believe robot ataweka data hapa maana unajua kila mtu hapa siyo kila mtu.
 
Kelly,
On a serious note maana sijawahi kuleta utani kwenye serious issues, kuna watu wako very much interested to jump onto this opportunity which personally I take as an honour given the importance of the subject of the study.
One clarification though...wanataka mtu aandike:
1[B]."Biography" [/B]which is an account of a person's life written, composed, or produced by another
au kama ulivyosema wewe
2. "Bibliography" which is the description of books:
(i) a systematic list of writings by a given author or on a given subject;
(ii) the study of books as material objects, involving technical analysis of paper, printing methods, bindings, page numbering, and publishing history.
Naomba huo ufafanuzi kabla ya kuamua kujitosa.


WOS....

Basically ni maisha ya kisiasa ya Nyerere....na kwa jumla hasa vile ambavyo vilikuwa havijulikani ama kuwa documented....

I hope i amde myself clear if not let me know.

Thanks
 
aisee hapana hapana sikubali kiumbe asogelee uku nyuma....kwanza nakuogopa sana mzee wa kulonga na tIGO hamchelewi kubeep....

Mzee hahahaha nimecheka sana hapa ofisini aisee uwiiiiii.....kubeep hahahaha haya bana kasign mkataba wa amani kuleeeee....peace mzee taifa liko njia panda....
 
My my, kama hujaolewa basi mumeo anafaidi kweli kweli.
niruhusu picha yako nikaiweke bafuni kwangu japo one week.
....Thanx kwa kunielewa kuhusu Biography ya Nyerere and i believe robot ataweka data hapa maana unajua kila mtu hapa siyo kila mtu.

Inabidi umuulize my cupcake (nyani Ngabu) kama anafaidi au lah...na kuhusu picha kuweka jikoni ...oloo usiniletee balaa kwa Cupcake no way Jose!...

Yeha nimekuelewa kuhusu Issue ya Nyerere!...Life goes on.
 
Mzee ungetumia muda kidogo kufikiri ungeona Kelly01 ameweka wazi amekutana na hawa jamaa kwenye informal gathering, kwa kujua ni Mtz basi wakampa hiyo issue...sasa ugumu wa kuelelewa na wepesi wa kusahau ndo unakusumbua hapa....

La hasha, Masanilo - nimemwelewa saana na abadan sijasahau kauli yake ......
a) Unaweza kukutana na mtu ktk gathering lakini akasema "ataitoa hiyo issue kwenye mtandao wake au gazetini" wakati wewe utakuwa tayari amekupa dokezo. Ndio maana nikamwomba Kelly01 (pamoja na walionitangulia wametoa wito huo) aweke hiyo issue bayana hapa JF.
b) Binafsi nimekumbana na issues aina hiyo mara nyingi kutoka kwa "wageni" na hata 3 zilizofanana na hii. Moja ni kule Accra (Nkrumah vs Nyerere), ingine Abuja (Nyerere/Ojukwu & Biafra) na ya 3 Harare (Nyerere na kikomo cha NKOMO) ambapo niliombwa niandike hizo articles. Pia kuh "the other (dark) side of President Nyerere", "the things Nyerere did but are never written in TZ", "Nyerere and the two C's - Christianity na Catholicism".

SAMAHANI KWA KWENDA NJE YA MADA ILI KUJIBU SENTENSI YA MWISHO YA MASANILO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom