Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,530
Yule dada aliyehama chama chake cha awali na kwenda chama kingine Maarufu kama Juliana Shonza ameolewa na kufunga ndoa na bwana David...
Hongera zakee.
Hongera zakee.
Kwani karuhusiwa na chama?
Hahaha...politics bana
If you're going to kick
authority in the teeth, you
might as well use two feet..hongera zake
Sio mbaya sana Haina makombo hiyo japo kiukweli imechoka.
unatafuta ndoa kwa mganga wa kienyeji ?????????????????????????? duhHongera zake.
Wenzake wanaitafuta hadi kwa waganga wa kienyeji wanaikosa.
May God bless her.
unatafuta ndoa kwa mganga wa kienyeji ?????????????????????????? duh
Sijui kwa nini nilkimbia umande..lol
Ni kwamba hujawahi kusikia au unataka "kunichota" maneno mkuu?