chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 580
- 245
Kumbe tunaoneana aibu wakati hatuonani!!
Ndo hapo basi, Wengine hata ukiwapa UHURU, bado wachungulia nyuma........!!!!!! (BINADAMU..........)
Kumbe tunaoneana aibu wakati hatuonani!!
hii sredi haina thamani kama dola za zimbabwe. mnashauriwa kutumia pombe kwa kiasi ili kuepuka kupost sredi za ajabu ajabu kama hizi.
asanteni kwa ushirikiano.
cancer ya nywele, heheeh, haujambo wewe mrembo wa dodoma?halafu pombe ikichanganywa na klorokwin inatibu nini vile?
halafu pombe ikichanganywa na klorokwin inatibu nini vile?
cancer ya nywele, heheeh, haujambo wewe mrembo wa dodoma?
inatibu uhai.....inautoa at zat instant
unanikata stimu bana, shkamoo ndio nini sasa?, shkamoo mwenyewe. lolsijambo shkamooooo!
unanikata stimu bana, shkamoo ndio nini sasa?, shkamoo mwenyewe. lol
Acheni tabia za kibaguzi . Mbona wanaume hawaleti sred za aina hii? Hili pendekezo halina mashilo Mods. Mara watakuja wanawake , wazee, vijana , Nccr, CDM ,etc .Halafu mwisho wa yote ni nini?
hapa sasa tutaelewana, mambo shwari tu kama mshahara wa benki. najaribu kutafta mtu akukamatie mwavuli ukitembea ili uspigwe na jua kabisa yaani, au unasemaje?ha ha ha ha!
"unaniamkia unataka kuninyima nini" nimenukuu msemo wa zee moja hivi.
Haya handsomeboy mambo?
hapa sasa tutaelewana, mambo shwari tu kama mshahara wa benki. najaribu kutafta mtu akukamatie mwavuli ukitembea ili uspigwe na jua kabisa yaani, au unasemaje?
usjali, na lile limbwata limeanza kuisha naomba uniongeze. senkshapo umenena. Tena anifunike huku amenibeba mgongoni.
usjali, na lile limbwata limeanza kuisha naomba uniongeze. senks
kwahiyo mods wataomba passport/ids za watu ili wajue jinsia zao.....???, na Je hii itakuwa private forum kama livyo ya dini na ya wakubwa? you can never tell kwenye JF kama mtu ni mwanamke au mwanaume.. wewe mwaga hoja hapa hatuangalii mtu behind the hoja bali hoja zenyewe...
kigeloni kimoja kaiba kaizer. hakuja nacho huko DOM?mbona limeisha mapema?
Ulifikiri juice umekunywa kwa fujo eeh!!
kigeloni kimoja kaiba kaizer. hakuja nacho huko DOM?