Jukwaa la Wahariri lamfungia Mkuchika; latoa ripoti ya Tarime

hao wahariri nao wasitake kutufanya tuamini kuwa makosa ni ya Marato peke yake. Mhariri ndiye mwenye mamlaka ya kutumia habari anayoletewa na mwandishi wake. Je, hao wahariri waliokubali kutumia habari ya uzushi nao wamechukuliwa hatua gani? Na hayo magazeti yaliyoandika habari hiyo nayo, yamewajibishwa vipi? Marato asifanywe bangusilo
 
Wadau
Baada ya Mzee Mwanakijiji kufungua thread hii na kuonesha msimamo wake, huku akiwa analetewa mawazo na elimu tofauti na Bw Kuhani, kinyemela amefungua thread nyingine inayokwenda kwa:-

Tittle Exclusive: Mahojiano na Mhe. Mkuchika, na Wakili Marando

Wakili Mabere Marando anawakilisha Gazeti la Mwanahalisi na pia Mkurugenzi wa Hali Halisi Bw. Saed Kubenea. Je, sasa wana mpango gani baada ya kujikuta wanafungiwa kuchapisha gazeti hilo kwa muda wa miezi mitatu?

Aliyefungia gazeti hilo ni Waziri wa Habari, utamaduni na Michezo Mhe. George Mkuchika. Je alifanya kosa kulifungia gazeti hilo? NI kwanini basi hakuyafungia magazeti mengine ambayo yaliandika habari zinazoshabihiana na zile zilizosababisha gazeti la Mwanahalisi kufungiwa.

Wakati huo huo Kijarida cha "Cheche" nacho kiko mitaani; What a wednesday Eh?

Kupata majibu ya yote hayo sikiliza kidokezo hiki:

[media]http://www.klhnews.com/images/podcasts/maberemkuchikaintro.MP3[/media]


Kazi kwenu, wenye kunielewa mmenielewa.
 
Wanasiasa, wanamusiki, wanamichezo, waigizaji na ma-Star wengine ni watu ambao hawawezi kuishi bila kamera kuwafuata. Kitendo cha kugomewa kuandikwa huwa kinawaudhi sana. Ingawa ukweli ni kuwa wakiwa mitaani utawaona na miwani miesi na mikofia ili usiwatambue, wakiwa wamevaa Pamba kali, basi hutafuta PAPARAZI kwa nguvu sana. Ukimgomea kumuandika basi inakuwa kama umekataza Fisi asile mifupa. Nilishashuhudia kiongozi mmoja wa chama cha siasa, alikataza watu wake wasiende kwenye Station moja ya TV. Ila tatizo hiyo TV ilikuwa ni maarufu sana. Sasa jamaa wakifuatwa na unaona kabisa upande mmoja anataka kuongea na upande mwingine anaogopa BOSS wake atamuona LIVE kwenye hito TV.
Hata nduguze waliokuwa wanatambia UJIKO wa kaka yao GEORGE, wataanza kuulizwa, ehh mbona George wenu siku hizi hatumuoni? Kafukuzwa kazi nini? Kama wewe ni mtu mashuhuri, usiombee Waandishi wa habari wakugomee......
 
MKJJ, some updating:

Kwa mujibu wa Taarifa ya Habari ya ITV, leo (14 Oktoba 2008) saa mbili usiku, Tume ya Wahariri imemtaja George Maratu, mwandishi wa kujitegemea aliyeko Tarime amabye ITV humtumia kupata habari kuwa ndiye chanzo cha hiyo habari tata, iliyoshabikiwa na kusambazwa na hayo magazeti kadhaa. Tume imeendelea kuripoti kwamba iliwahoji mashahidi kadhaa (18, au 20?) akiwemo bwana Maratu, wote kwa pamoja wamethibitisha kutokuona ushahidi wowote (silaha: mapanga nk) kama ilivyotuhumiwa. Ni Maratu pekee ndiye kariri kwamba aliona hilo.

nadhani neno hili ulimaanisha 'kakiri'
Kamishna wa Polisi Mara naye amekana kuona ushahidi wowote ulioashiria maandalizii ya silaha na tafrani dhidi ya viongozi wa Chadema, hususan mwenyekiti wake, Freeman Mbowe.

Kuanzia sasa, ITV imesitisha kufanya kazi na George Maratu na haitamtumia tena kuipatia habari.

Maskini Joji Maratu,
Kumbe alikuwa anawafanyia kazi mafisadi kwa kumripoti vibaya Mbowe!
Kweli kuna haja ya kuweka msisitizo katika maadili ya taaluma badala ya kuendekeza njaa na kutumiwa.


Wabeloya, kevo, kuhani, mag3, Masatu na wengine mnaodhani adhabu hii haiwezi kufanya kazi nyie subirini.
Nafahamu adhabu kama hii iliwahi kufanya kazi kwa Ramadhani Mapuli na yule mkuu wa magereza Tanzania.Nakwambia mpaka Mapuli anaondoka kwenda ubalozini ndio tulifahamu kwamba bado ana exist lakini kabla ya hapo alikuwa uvunguni na hasikiki kabisa. Ilimuathiri hata katika uchaguzi 2005.
Nyie subirini muone kama wahariri hawana power kama mnavyotaka kuwasadikisha wengine hapa.
Na kwa taarifa yenu kama yeye Mkuchika hakuona vyombo vingine vya kisheria vina haki ya kusikiliza kesi hii ila yeye mpiga propaganda za chama, then hakuwa na haki ya kuitwa mahali popote kuulizwa kuhusu uamuzi wake.
Walichofanya wahariri regardless kwamba labda kuna watakaowazunguka ndicho sahihi.
Na sisi wasomaji wa magazeti hatutanunua gazeti lenye habari ya Mkuchika. Sasa muandishi yeyote na aziandike na kuzisoma mwenyewe.


Masahihisho kidogo, Omari Ramadhani Mapuri alikuwa waziri wa mambo ya Ndani kwa wakati ule (ambapo Magereza wako chini ya wizara hii).
 
Mkuchika inaonekana kabanwa kila kona... Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa wananchi jimboni kwake (Newala) wamekata nguzo za umeme 19 kwa hasira na kukata mabomba ya maji kadhaa kwa madai kuwa anawalinda mafisadi ambao wamesababisha jimboni humo kuwe na hali ngumu ya maisha na ndoo moja ya maji ikinunulika kwa Tshs 1,600/=.

Tunaelekea kubaya!
 
Mkuchika inaonekana kabanwa kila kona... Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa wananchi jimboni kwake (Newala) wamekata nguzo za umeme 19 kwa hasira na kukata mabomba ya maji kadhaa kwa madai kuwa anawalinda mafisadi ambao wamesababisha jimboni humo kuwe na hali ngumu ya maisha na ndoo moja ya maji ikinunulika kwa Tshs 1,600/=.

Tunaelekea kubaya!

sasa hawa wapiga kura wake watalalamika wanakosa umeme na kumtaka Mbunge wao awaletee umeme?
 
Mkuchika inaonekana kabanwa kila kona... Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa wananchi jimboni kwake (Newala) wamekata nguzo za umeme 19 kwa hasira na kukata mabomba ya maji kadhaa kwa madai kuwa anawalinda mafisadi ambao wamesababisha jimboni humo kuwe na hali ngumu ya maisha na ndoo moja ya maji ikinunulika kwa Tshs 1,600/=.

Tunaelekea kubaya!


I can not swallow that!
I smell danger!
 
Mkuchika inaonekana kabanwa kila kona... Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa wananchi jimboni kwake (Newala) wamekata nguzo za umeme 19 kwa hasira na kukata mabomba ya maji kadhaa kwa madai kuwa anawalinda mafisadi ambao wamesababisha jimboni humo kuwe na hali ngumu ya maisha na ndoo moja ya maji ikinunulika kwa Tshs 1,600/=.

Tunaelekea kubaya!

Kwa hiyo hapa ndio wanamkomoa nani? Mbona wanajihujumu wenyewe? Natamani habari hii iwe ya kutunga tu!
 
Ndugu zangu, nafikiri tunahitaji kutafakari kwa kina ripoti ya tume ya waandishi. Nina mashaka kama ripoti hii ndio inaelezea ukweli wa mambo yaliyotokea kwenye mazishi ya Mh. Wangwe. nakumbuka vyombo vyote vyote vya habari vilitangaza kuwako kwa vurugu na sio magazeti haya machache ya Kiswahili ambayo George Marato ameyaandikia. Magazeti haya yalikuwa na vyanzo vingine tofauti kama Mkuu wa Polisi wa Mkoa ambaye alithibitisha kuwako kwa hali hiyo. Kwa kuongezea tu Daily News iliwaquote wageni kutoka Kenya ambao nao walithibitisha kulikuwa na vurugu. Pili, tuliona kwenye television hali hiyo na sishawishiki kama ile nayo ilitengenezwa. Na jambo la tatu Mheshimiwa Shelukindo alisema bungeni kuhusu vurugu zile. Kama nitakumbuka vizuri Mh Shelukindo aliongoza kamati fulani ya bunge kwenye mazishi.
Nashauri tutafakari zaidi kabla ya kuichukua ripoti ya tume ya waandishi na kumuhukumu George Marato.

kweli wewe mdanganyika pole, Marato ndiye aliyetudanganya sisi wanatarime, alinifanya nikashindwa kwenda kufanya kampeni ni kimkamata na hicho cheti inabidi anyang'anywe
 
Wadau
Baada ya Mzee Mwanakijiji kufungua thread hii na kuonesha msimamo wake, huku akiwa analetewa mawazo na elimu tofauti na Bw Kuhani, kinyemela amefungua thread nyingine inayokwenda kwa:-

Tittle Exclusive: Mahojiano na Mhe. Mkuchika, na Wakili Marando




Kazi kwenu, wenye kunielewa mmenielewa.

mwaga mambo acha majungu, wewe ndiye kuhani yani huyo kuhani ananikwaza kweli hana cha kuongea zaidi ya kubishana na mwanakijiji hivi kwanini jamani hapa nimeiba muda wangu kusoma mambo ya JF nakutana na mabishano halafu na hisi nia yake kubwa nikupotosha mada sio siri naomba muwe mnatumiana PM basi ahaaaaaaaaaaaaaaa
 
mwaga mambo acha majungu, wewe ndiye kuhani yani huyo kuhani ananikwaza kweli hana cha kuongea zaidi ya kubishana na mwanakijiji hivi kwanini jamani hapa nimeiba muda wangu kusoma mambo ya JF nakutana na mabishano halafu na hisi nia yake kubwa nikupotosha mada sio siri naomba muwe mnatumiana PM basi ahaaaaaaaaaaaaaaa

Kuhani ananielimisha kama wewe waona anapotosha acha nielimike.
 
mwaga mambo acha majungu, wewe ndiye kuhani yani huyo kuhani ananikwaza kweli hana cha kuongea zaidi ya kubishana na mwanakijiji hivi kwanini jamani hapa nimeiba muda wangu kusoma mambo ya JF nakutana na mabishano halafu na hisi nia yake kubwa nikupotosha mada sio siri naomba muwe mnatumiana PM basi ahaaaaaaaaaaaaaaa

usiwe na wasiwasi ndio uzuri wa forum, kuna wanafunzi wengine darasani ili waweze kuelewa lazima wabishe sana na kwa kufanya hivyo wanatoa elimu kubwa kwa wengine na kutoa changamoto kwa mwalimu...
 
Mkuchika inaonekana kabanwa kila kona... Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa wananchi jimboni kwake (Newala) wamekata nguzo za umeme 19 kwa hasira na kukata mabomba ya maji kadhaa kwa madai kuwa anawalinda mafisadi ambao wamesababisha jimboni humo kuwe na hali ngumu ya maisha na ndoo moja ya maji ikinunulika kwa Tshs 1,600/=.

Tunaelekea kubaya!

Cutting off your nose to spite your face! Kama vile kuvunja luninga kwa sababu timu yako inafungwa.
 
Hawakumfungia mtu mmoja tu kama vile ni mtu fulani toka gengeni. Walichokataa ni kuandika habari kutoka kwa mtu mwenye uwezo wa kiimla wa kulifungia gazeti lolote at will (as long as yeye ameridhika. Narudia tena hawana uwezo wa kumuita Waziri na kumtaka atoe utetezi au kujieleza. Uamuzi wa Waziri kufungia gazeti ni absolute!



Wameshafanya research na wakajenga hoja kuwa habari hiyo siyo ya kichochezi na katika kuthibitisha hivyo wakaonesha habari kama hiyo kutoka Raia Mwema na kutoka Rais. Guess what, Mkuchika anasema (paraphrasing) "quod scripsi, scripsi" ... niliyoyaandika, nimeyaandika. Sasa katika mazingira hayo waandishi wafanye nini? Wampigie magoti na kumuomba radhi?

Hili ni zaidi ya suala la Kubenea, it is about unfair and unjust law. It is an act of protest. It is not about Mkuchika as an invididual but what that individual represent. Hata kesho akiingia Waziri mwingine kama hatotengua uamuzi wa Mkuchika mgomo utaendelea vile vile. It is an act of protest against a dictatorial law, a law which need to be challenged, questioned and rightly discarded into the unforgiving dumpster of history.

Well I guess I will have to venture more into the law regarding this issue.
 
Back
Top Bottom