Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Hapa tupia utani umhusuo kijana. Nipo off leo, tired with job . .
Kichaa mmoja alikuwa amesimama ghorofani anakojoa chini. Alipopita Dr akastop kukojoa. Dr akajua amepona akamwuliza mbona umeacha kukojoa nlipokuwa napita chini? Kichaa: Nimeogopa kama ungevuta mkojo wangu ningeanguka!
Welcome
Kichaa mmoja alikuwa amesimama ghorofani anakojoa chini. Alipopita Dr akastop kukojoa. Dr akajua amepona akamwuliza mbona umeacha kukojoa nlipokuwa napita chini? Kichaa: Nimeogopa kama ungevuta mkojo wangu ningeanguka!
Welcome