Kinachoniudhi majukwaa mengine lazima utumie akili na busara, lakini huku tunatumia viantena vya mende
Tunapapasa tu kinachokuja unaandika hichohicho
MMM, itaendelea kuwepo kama kawaida, kwani huku Chit-Chat kuna nini cha maana?
Kabisa mkuuhumu kuna uhuru flani
hahhaaaaaaaaaaaaaaaa kweli we ni noma kha!Excellent aamua kuja na tetesi kuwa jukwaa la MMU liko hatarini kutoweka....dah nilifikiri niko kwenye thread ya JF Udaku haya mazoea noma sana aisee
Jukwaa la MMU inaweza kukosa mvuto kwa ajili ya jukwaa la Chit Chat,hii ni kutokana na members wa MMU kuhamia huku halafu
isitoshe huku mada zote zinajadiliwa.
Jana nilichelewa kulala kwa ajili ya hiyo thread mana mtu akikuzushia na wewe unazusha
Pole kumbe ulikuwa hujui
kumbe kuna kitufe kinachoonyesha new post
kko wap
Kwa sie wazee wa kitufe cha "new posts" hatuoni umuhimu wa jukwaa,hasa kinachobamba ni topic husika,iwe MMU,CHIT CHAT,Siasa,Elimu,etc!kama ina mashiko ndio hapohapo!