Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
Nafanya plastic sugery hapa. Nikirudi kesho watanikoma! Sijui hizo posts watadelete vipi!!!Hata wewe kule sura yako inakashfa mpaka basi
Nafanya plastic sugery hapa. Nikirudi kesho watanikoma! Sijui hizo posts watadelete vipi!!!Hata wewe kule sura yako inakashfa mpaka basi
Umejuaje ni safi?
Tunafidia nauli ya daladala niliyokulipia kutoka Manzese hadi TandaleHalafu kumbuka zile zangu ulizoignore
am a vampire!
Mi jana nilishangaa inafika tisa usiku..ikabidi nikimbie fasta. Nimeibuka 12 nikashangaa watu niliowaacha macho bado wamo!Rejao kule sirudi banaa...hauchelewi kugeuka sanamu au skeleton ukiingia kwenye ile thread muulize sijui nini jana kasahau kuoga, amekesha amekaa kwenye ile thread hadi asubuhi matokeo yake kakurupuka kutoka usingizini saa sita za mchana...:lol:
Tena unakuta wanakugongea LIKE kabisa! Najishangaa nimelikimbia jukwaa langu pendwa la siasa kwa sababu ya huku!!unaweza kuandika matusi kichina au lugha yoyote{???????}halafu wako poa
aaah kumbe we ndo mwe ile series ya diary
Hahahaha!! Si unajua watu walikuwa busy kutengeneza skendoMi jana nilishangaa inafika tisa usiku..ikabidi nikimbie fasta. Nimeibuka 12 nikashangaa watu niliowaacha macho bado wamo!
Kumbe tuko wengi...lolLizzy aiba toothpick kwenye mkahawa wa PAW.
oops! kumbe nimeingia sredi siyo, samahani wajameni.
basi lazima ufe vyuma vikigusishwa mana masikio yataumia na vampire hilo ndo inawamaliza