Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
wana JF mliopo mbali na ITV mjadala wa KATIBA umepamba moto kwani wajumbe wanaonesha nia ya hata kuingia mitaani ili kudai katiba mpya. Wajumbe wamewashauri jeshi la polisi kuweka silaha zao chini na kufuata nyuma ya wananchi ili kudai katiba mpya. Mzee Chipaka. Mwenyekiti wa CHADEA alipo jaribu kwasihi wajumbe wapunguze jazba wajumbe wamemzomea huku wakisema CCM! CCM! na Mr. Kibaba amemuokoa kwa jinsi alivyochemka.
Nawasilisha
Nawasilisha