hahahahaha! shibe kitu kibaya sana umekaa katika computer unawachochea wenzako waandamane.Maandamano yatafanyika tu endapo yataruhusiwa vinginevyo hakuna wa kuingia barabarani wote waoga na wenye kuyafurahia maisha.Unawadanganya wenzako eti upo tayari kufa,kwa jaribio lipi uliwahi kufanya ili tuamini upo tayari kufa kwa ajili ya watz.Yakizuiwa huyo kibamba kama mtamuona.Punguzeni kupayuka
Kuna nyumba inauzwa Tandale kwa Tumbo bei milioni 700
Kuna nyumba inauzwa Tandale kwa Tumbo bei milioni 700
Kuna nyumba inauzwa Tandale kwa Tumbo bei milioni 700
kwanza tupewe mazoezi ya kivita na kuhimili hali ngumu na tatanishi...pili watuvutishe bangi yaaani risasi tuone kama maji tu
Nyie andamaneni tu alirimradi hamuungilii mishemishe zetu za kutafuta faranga, halafu tuone mwisho wa hizo politiki zenu mtakula nnnnnini?