Kwa hili nimeanza kuona dhamira ya dhati ya JUKWAA LA KATIBA..na nategemea Deus na wenzake ndio watakuwa mstari wa mbele kama ambavyo CDM uwa wanawaweka viongozi wake mbele....
Ninachowaomba tu kabla ya kwenda kwenye maandamano andikine kabisa wosia na muwaage wake zenu kuna uwezekano wengine wasirudi wazima..
Kwenye mapambano kuna kufa au kupona
nashauri haya maandamano kama yataanzishwa yawe strategical kwa mipangilio inayoeleweka. Ikiwa na maana kwamba hata pale yatakapopigwa mabomu tuwe na jinsi ya kujipanga (regroup) katika muda mfupi. Na pia uwepo mfumo unaoeleweka for instant update ambao najua kulingana na technology ya sasa sio rahisi oppressors kuuzuia
kwanza tupewe mazoezi ya kivita na kuhimili hali ngumu na tatanishi...pili watuvutishe bangi yaaani risasi tuone kama maji tu
Umekula nini leo mchana?