Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Wale wauaji wa watalii ktk camp huko mikoa ya kaskazini wamepatikana,baadhi Mugumu-Serengeti na wengine Mwanza!Waziri mwenye dhamana Mh.E.Nchimbi ameonekana akiwa eneo la tukio,uwepo wake unaashiria kuwa toka tukio litokee amekuwa nje ya Bunge akifuatilia hatma ya Wauwaji hao wa watalii!...Kwa juhudi hiyo na moyo huo wa askari na Waziri Nchimbi tunaomba utumike pia ktk "Watekaji" na "Wauwaji" wa Dr.Ulimboka...muda na umakini uliochukua muda usiozidi wiki umefanikisha kupatikana kwa wauwaji wa Mtalii...pia jinsi Dr.Nchimbi alivopiga kambi Mugumu na Mwanza na kuacha vikao vya bunge kuhakikisha wauwaji wanapatikana kwa msaada wa kamanda Sirro ujidhihirishe kwa kupiga kambi Dar kuwapata "Watesi " wa Dr.Ulimboka