Judging Gaddafi with open mind!!!

Kifo sio kitu kizuri hata mwenyenzi mungu nahamini haimpendezi, nashauri tumtoe kwa nguvu ya umma au katika box la kura, alafu tumwache ashughulikiwe na sheria za nchi, ukonga panamfaha sana pale kuwa makazi yake ya milele, sasa hivi nasikia yupo Australia anakula bata tu, ugali wa ukonga utamfaha sana huyu.
Nguvu ya uma bila msaa toka nje sio rahisi labda jeshi limgomee na kwa Tanzania msubiri 2015. Na NATO hawaji kwani hamwezi kulipa $3Trillions
 
Nashukuru mkuu kwa kunipunguzia niliyotaka kuyaainisha. Labda nirudishe swali kwa wanajf, ni kiongozi gani hapa afrika anayefanya kama gaddafi alivyokuwa anawahudumia wananchi wake? Naomba mungu anijalie nione mabadiliko waliyokuwa wanayataka hawa walibya. Laiti tungekuwa na kiongozi mmoja kama gaddafi?
matatizo hayalingani,tuwaache walibya na uamuzi wao,kwetu tunaona Ghadaf hana tatizo,tukilinganisha na matatizo yetu,yawezekana kuna nchi nyingine zinashangaa kwa nini watanzania wanaichukia Ccm,kwa nini wanalinganisha na nch yao wanaona sisi tuko Juu.TUSIWALAUMU WALIBYA!
 
Nashukuru mkuu kwa kunipunguzia niliyotaka kuyaainisha. Labda nirudishe swali kwa wanajf, ni kiongozi gani hapa afrika anayefanya kama gaddafi alivyokuwa anawahudumia wananchi wake? Naomba mungu anijalie nione mabadiliko waliyokuwa wanayataka hawa walibya. Laiti tungekuwa na kiongozi mmoja kama gaddafi?

Gadaffi alikua na pesa za kuhudumia wananchi wa Libya ama zilikua ni pesa za Walibya zilifanya hayo mambo yote? Waafrika tutaendelea kuwa misukule ya watu kwa akili za kimasikini kama hizi.
 
@salisalumu. Mkuu nimestuka sana kusikia Membe anaombeleze kiasi hicho kwa kifo cha Gaddafi. Nilijiuliza kama huyu jamaa ni mtanzania ama mgeni aliyekulia Tanzania. Mimi nikiwa mtoto mdogo nakumbuka tulikimbia nyumbani,tukawa tunalala ktk vichaka,bdae ktk handaki kwasababu ya vita ya Idd Amin akisaidiwa na rafiki yake Gaddafi. Mpaka katika utu uzima wangu nilikua nikisikia ngurumo ya mvua nastuka sana. Sijawahi sikia kwamba Gaddafi aliomba msamaha kwa kitendo hicho. Msamaha hapa nazungumzia sisi wananchi tulioathirika na hiyo vita siyo viongozi waliokua huko Dsm. Mimi na baadhi yetu huku Kagera tunaposikia waziri wetu wa mambo ya nje anamlilia huyu muuaji tunabaki na maswali mengi kichwani.
 
pamoja na Bernard kudai watanzania haturidhishwi na jinsi wanalibya walivyoshughulikia ufisadi wa kadaffi kwa kumtia hatiani bila ya mashitaka yake kueleweka.......................au hata kupewa nafasi ya kujitetea........................nifahamuvyo......................baraza la mawaziri lilikuwa halijakutana na hayo ni maoni yake binafsi.......................na hivyo hayawezi kukuzwa kumtetea muuaji kadaffi.........

lakini bernard ana sababu nyingine za kujikomba kwa kadaffi na kuhatarisha mahusiano na wababe wapya wa libya kwa maana ya kujipendekeza ili sisi kupata makombo yao..............................kupitia ombaomba..................saidia sisi masikini wa kujitakia...........................




sababu za ngebe za bernard kumlilia jambazi Kadaffi ni pamoja na:-

1) 15% ya michango ya AU kadaffi alikuwa anawahonga wanachama ili kumpigia debe awe Raisi wa AU na hivyo kuwarubuni walibya wenzie wamgwaye kuwa kumbe...Kadaffi is an international statesman........................like mzee kifimbo..................................ni dhahiri membe alikuwa analilia hiyo michango akijua wababe wapya tajwa hawana huo unafiki na uendekezaji wa ufisadi.................bunge la libya kamwe halijawahi kupitisha hizo rushwa...........................

2) Kadaffi alikwisha anza tabia ya kuwapa viongozi wa afrika kama zimbabwe dhahabu wamtunzie.........................Mugabe amepewa shehena ya tani 200......pamoja na vikomberezo kebekebe.....kenya wamepewa miradi mingi ya mafuta na gesi ukiachilia mbali ununuzi wa hoteli ya kifahari ya five star yenye mgogoro wa kashfa ya Goldenberg..............................................ya wanamagamba waliopewa au kuahidiwa na kadaffi ningewaomba wajieleze wenyewe.............wajipimie................................maana nikiwapima wataanza kukanusha......................

3) NTC tayari wamesema wao kushikamana na NATO...............hii kwa wale waliotegemea waarabu kuunganisha nguvu dhidi ya taifa la Muumba.......................taifa la wana-Israel.......hili ni pigo kubwa...............................na ccm tangia wakati wa mchonga....................haikulitafakari Neno la Mungu...................ambalo lipo wazi...................Israel ni taifa lake na hakuna wa kuwabughudhi tena hadi mwisho wa dunia...............................sasa kwa nini tupigane na neno la Muumba...................kama siyo uendawazimu...................na upumbavu usio na kifani....................................Ni dhahiri Membe hoja zake zililenga kutetea dini na masilahi yao watajwa......wakereketwa ambao hawana mwelekeo wowote zaidi ya kulalama....lakini siyo masilahi ya wengi ambao hatushabikii kupambana na Mola kwenye utukufu wake....................Hili halinishangazi ukizingatia hata bunge letu lisilo na kichwa wala miguu wanaolitafuna wanaliita tukufu....................swali langu huwa kama Bunge ni tukufu sasa mwenyezi Mungu ni kitu gani?..wapagani bungeni hawaoni haya kulitukuza Bunge saawia na Muumba................

4) Katika mahojiano na TBC1, Membe alikiri ya kuwa hakulala siku wababe wapya wa libya walipomharakisha kadaffi kwenda Qibla......................hivi kwa nini akose usingizi kama siyo kuhisi yaliyomkuta kadaffi yapo njiani kuwakuta walafi wa wanamagamba???????????????? hapa namwona Membe akijililia nafsi yake akijua siku ya siku.......itakapowadia..........tutawaburuza hadharani hata wakijaribu kututamanisha na ahadi za hongo...................kama kadaffi alivyofanya...............kuwa ana midola na midhahabu kamwe hatutazisikiliza.........ngonjera tajwa........ila kuwatia kabali wajanja wa sisiemu hawa bila ya kuwaonea huruma...............................

5) Historia hujirudia yenyewe...................pengine hili ndilo ambalo lilimfanya Membe akose usingizi na kutia chumvi kuwa nasi tunachukizwa na kadaffi kuwajibishwa kikamilifu..............na raia zake kwa kuwadhulkumu haki zao za kimsingi ikiwemo ya kujichagulia viongozi wawapendao.............miaka ya 60.............." a wind of change swept across Africa to decolonolize the continent.............."...................................................are we not on the verge of something similar?.......... the only difference here the hunters now have been reduced into the hunted????????????????????????????????????????????

Membe acha kutuingiza kwenye kasheshe zenye masilahi binafsi kwako na jamaa zako wachache....................................la muhimu la kuangalia viongozi wote wa nchi za kiarabu ambao wanapambana na taifa la mwenyezi Mungu...........................mwisho wao ni mauti asema Bwana.....................

have your say on this topic if you can................

download


AND EVERYONE THOUGHT GADAFFI WAS BAD?????

READ EVRYTHING B4 u CRITISE THE POST........

Libya and Libyan "dictator" Muammar Gaddafi:

1. There is no electricity bill in... Libya; electricity is free
for all its citizens.

2. There is no interest on loans, banks in Libya are
state-owned and loans given
to all its citizens at 0% interest by law.

3. Home considered a human right in Libya –
Gaddafi vowed that his parents
would not get a house until everyone in Libya had a
home. Gaddafi’s father has
died while him, his wife and his mother are still living
in a tent.

4. All newlyweds in Libya receive $60,000 Dinar (US$
50,000 ) by the government
to buy their first apartment so to help start up the
family.

5. Education and medical treatments are free in
Libya. Before Gaddafi only 25%
of Libyans are literate. Today the figure is 83%.

6. Should Libyans want to take up farming career,
they would receive farming
land, a farming house, equipments, seeds and
livestock to kick- start their farms
– all for free.

7. If Libyans cannot find the education or medical
facilities they need in Libya,
the government funds them to go abroad for it –
not only free but they get US
$2, 300/mth accommodation and car allowance.

8. In Libyan, if a Libyan buys a car, the government
subsidized 50% of the price.

9. The price of petrol in Libya is $0. 14 per liter.

10. Libya has no external debt and its reserves
amount to $150 billion – now
frozen globally.

11. If a Libyan is unable to get employment after
graduation the state would
pay the average salary of the profession as if he or
she is employed until
employment is found.

12. A portion of Libyan oil sale is, credited directly to
the bank accounts of all
Libyan citizens.

13. A mother who gave birth to a child receive US
$5 ,000

14. 40 loaves of bread in Libya costs $ 0.15

15. 25% of Libyans have a university degree

16. Gaddafi carried out the world’s largest irrigation
project, known as the Great
Man-Made River project, to make water readily
available throughout the desert
country.

AND EVERYONE THOUGHT GADAFFI WAS BAD?????
 
Dear The Romantic and the write of the article you have quoted from.

It is quite unimaginable to see Hon Bernard Membe drumming for Gaddafi. I will never forget about what he did to Tanzania in 1978 - 1979 when he brought his army and weaponry to fight Tanzania by joining hands with Idd Amin - the former brutal dictator of Uganda. Even though he apologized and Tanzania forgave him, taking a low profile about his fall would at least be an honor to fellow Tanzanians who lost their life on our behalf protecting our land. Gaddafi's policies in Arab countries failed he turned to Africans of the sub-sahara mostly corrupt leaders who can be easily bought by cheap money. Leaders who do not care about their people but value their personal gains and cheap business travels for Africa initiatives which has never worked for us. We are aware that Gaddafi used to foot most of AU expenses people like Membe were enjoying to save allowances paid at home for their self aggrandizement.

Membe pretends to talk on our behalf - hatujamtuma. Every Tanzania is entitled to a free opinion and views about the fall of Gaddafi. Some are sympathetic, some are indifferent some did not like his hanging on power and excluding the majority of Libyans from their inalienable rights to determine how they should be governed from time to time. It doesn't mean that Gaddafi did not do a single good thing, the fact that he was politically manipulative and eliminated brutally all who had different point of political view from his, leaves nothing less for us than just feeling a relief for his departure.

So Membe should give his personal views, if he likes Gaddafi well and good but he should not continue using a name Watanzania to debase the noble course of NTC. I support struggles for all who are suppressed, the rest are outcomes. If African leaders want that not happen then that is a lesson to learn, they should stop manipulating people political wishes. If Tanzania really liked him then we should have send our armies to fight against NTC, we have a strong army we would have prevented his demise somehow, otherwise let Membe stop using Watanzania for an airy agenda.

Au tumkaribishe college mate wangu Al Saif Islam Gaddafi aje apumzike kule Bahari Beach kama malipo yake kwetu kwa kile alichofanya baba yake kwa vijana wetu kule Uganda.

Huh very annoying Membe!

Alaaa!hivi kumbe aliomba msamaha eeh?!!!!
 
Mie naona serikali ya gadafi inayosemwa ni ya miaka mingi na imechokwa na inagawanya walibya serikali ambayo watawala wachache na familiarly zao ndio waliojuwa wanachokitaka anarcho wote, wanaofanya kila mbinu wabaki kutawala milele sioni tofauti kubwa na serikali ya ccm zaidi ya ccm kubadili SURA ya mtu anaesimama hightable
 
Mzee Cosmas chidumule aliwahi kuimba akiwa na oss ama sikinde,aliimba hivi "mtoto akililia wembe wacha umkate atapopata kidonda ndipo atapougopa,dada yetu wewe ulikwishaolewa lakini kwa tamaa yako ukaivuruga ndoa yako kwenda kuishi na bwana mwingine vimekukuta vya kukuta mwenyewe umetutangazia majuto ni mjukuu tukusaidie nini sema nduguzo tulikuasa na mapema kwamba huyo bwana mdanganyifu ukatuona cc watu fitina tunakuonea gere umepata bwana mwenye pesa atakujengea nyumba atakununulia gariee sasa unajuta,usilieee dada unalia nini na wewe ulisema umempata bwana ataekufaa maishani wako,cc tulijua hiyo ni chambo tu sio kwako peke yako hata kwa hao walioolewa kabla yako(Egypt na Hosni Mubarak) tuwaona mitaani kila siku tunapanda nao uda na daladala hakuna kibanda wala nyumba"


download
Mtoto Akililia Wembe - YouTube
 
ina maana wale maelfu kwa maelfu waliokuwa wakiandamana ni wajinga



Ndiyo ni Wajinga,walighiribiwa na hila za Mataifa tajiri na wasalati wachache wa Gadaffi kuanzisha Uasi,huyo Gaddafi wanaye mwita Mbaya ametoa Elimu Bure, Nyumba Bure Maji Bure,Afya Bure,Nishati Bure...........Bure,vitu hivi hata hao ******* Marekani havitolewi bure,vinalipiwa na Wamarekani wanapumulia Mashine!!
Hata siku moja usithubutu kuamini Propaganda za Wamarekani na Walaya,wamemuua Gaddaffi Walibya,wakisaidiwa na nani,kama isingekuwa hawa *******-baridi NATO waasi wasingeweza!!

I assure u merytina,Walibya watamkumbuka Gadaffi,neno "Bure" watalisikia katika Bomba!!
 
pamoja na Bernard kudai watanzania haturidhishwi na jinsi wanalibya walivyoshughulikia ufisadi wa kadaffi kwa kumtia hatiani bila ya mashitaka yake kueleweka.......................au hata kupewa nafasi ya kujitetea........................nifahamuvyo......................baraza la mawaziri lilikuwa halijakutana na hayo ni maoni yake binafsi.......................na hivyo hayawezi kukuzwa kumtetea muuaji kadaffi.........

lakini bernard ana sababu nyingine za kujikomba kwa kadaffi na kuhatarisha mahusiano na wababe wapya wa libya kwa maana ya kujipendekeza ili sisi kupata makombo yao..............................kupitia ombaomba..................saidia sisi masikini wa kujitakia...........................

sababu za ngebe za bernard kumlilia jambazi Kadaffi ni pamoja na:-

1) 15% ya michango ya AU kadaffi alikuwa anawahonga wanachama ili kumpigia debe awe Raisi wa AU na hivyo kuwarubuni walibya wenzie wamgwaye kuwa kumbe...Kadaffi is an international statesman........................like mzee kifimbo..................................ni dhahiri membe alikuwa analilia hiyo michango akijua wababe wapya tajwa hawana huo unafiki na uendekezaji wa ufisadi.................bunge la libya kamwe halijawahi kupitisha hizo rushwa...........................

2) Kadaffi alikwisha anza tabia ya kuwapa viongozi wa afrika kama zimbabwe dhahabu wamtunzie.........................Mugabe amepewa shehena ya tani 200......pamoja na vikomberezo kebekebe.....kenya wamepewa miradi mingi ya mafuta na gesi ukiachilia mbali ununuzi wa hoteli ya kifahari ya five star yenye mgogoro wa kashfa ya Goldenberg..............................................ya wanamagamba waliopewa au kuahidiwa na kadaffi ningewaomba wajieleze wenyewe.............wajipimie................................maana nikiwapima wataanza kukanusha......................

3) NTC tayari wamesema wao kushikamana na NATO...............hii kwa wale waliotegemea waarabu kuunganisha nguvu dhidi ya taifa la Muumba.......................taifa la wana-Israel.......hili ni pigo kubwa...............................na ccm tangia wakati wa mchonga....................haikulitafakari Neno la Mungu...................ambalo lipo wazi...................Israel ni taifa lake na hakuna wa kuwabughudhi tena hadi mwisho wa dunia...............................sasa kwa nini tupigane na neno la Muumba...................kama siyo uendawazimu...................na upumbavu usio na kifani....................................Ni dhahiri Membe hoja zake zililenga kutetea dini na masilahi yao watajwa......wakereketwa ambao hawana mwelekeo wowote zaidi ya kulalama....lakini siyo masilahi ya wengi ambao hatushabikii kupambana na Mola kwenye utukufu wake....................Hili halinishangazi ukizingatia hata bunge letu lisilo na kichwa wala miguu wanaolitafuna wanaliita tukufu....................swali langu huwa kama Bunge ni tukufu sasa mwenyezi Mungu ni kitu gani?..wapagani bungeni hawaoni haya kulitukuza Bunge saawia na Muumba................

4) Katika mahojiano na TBC1, Membe alikiri ya kuwa hakulala siku wababe wapya wa libya walipomharakisha kadaffi kwenda Qibla......................hivi kwa nini akose usingizi kama siyo kuhisi yaliyomkuta kadaffi yapo njiani kuwakuta walafi wa wanamagamba???????????????? hapa namwona Membe akijililia nafsi yake akijua siku ya siku.......itakapowadia..........tutawaburuza hadharani hata wakijaribu kututamanisha na ahadi za hongo...................kama kadaffi alivyofanya...............kuwa ana midola na midhahabu kamwe hatutazisikiliza.........ngonjera tajwa........ila kuwatia kabali wajanja wa sisiemu hawa bila ya kuwaonea huruma...............................

5) Historia hujirudia yenyewe...................pengine hili ndilo ambalo lilimfanya Membe akose usingizi na kutia chumvi kuwa nasi tunachukizwa na kadaffi kuwajibishwa kikamilifu..............na raia zake kwa kuwadhulkumu haki zao za kimsingi ikiwemo ya kujichagulia viongozi wawapendao.............miaka ya 60.............." a wind of change swept across Africa to decolonolize the continent.............."...................................................are we not on the verge of something similar?.......... the only difference here the hunters now have been reduced into the hunted????????????????????????????????????????????

Membe acha kutuingiza kwenye kasheshe zenye masilahi binafsi kwako na jamaa zako wachache....................................la muhimu la kuangalia viongozi wote wa nchi za kiarabu ambao wanapambana na taifa la mwenyezi Mungu...........................mwisho wao ni mauti asema Bwana.....................

have your say on this topic if you can................

Hivi uko Tanzania wewe? Mbona una mawazo ya Kimarekani, maana hakuna Muafrika anaeamini Israel ni Taifa la Mungu, sasa si ni wakina nani? Hayo ni mawazo yanayotumiwa na watu kama nyie kuhalalisha UBABE wa ISRAEL na MArekani katika Dunia ya Tatu, Kiukweli am very disappointed on u, bora sie wengi hatuna Haki ya Admin ningekuwa nimekushughulikia kimoja.
 
bado mijitu hapa ina mawazo ya kimagharibi. Kifo cha gadafi na kikwete ni usiku na mchana. Wazungu sasa wanapumua baada ya kmwondoa kidume. Halafu wenye akili nyepesi lazima wataunga mkono kifo cha gadafi
 
download


AND EVERYONE THOUGHT GADAFFI WAS BAD?????

READ EVRYTHING B4 u CRITISE THE POST........

Libya and Libyan "dictator" Muammar Gaddafi:

1. There is no electricity bill in... Libya; electricity is free
for all its citizens.

2. There is no interest on loans, banks in Libya are
state-owned and loans given
to all its citizens at 0% interest by law.

3. Home considered a human right in Libya –
Gaddafi vowed that his parents
would not get a house until everyone in Libya had a
home. Gaddafi’s father has
died while him, his wife and his mother are still living
in a tent.

4. All newlyweds in Libya receive $60,000 Dinar (US$
50,000 ) by the government
to buy their first apartment so to help start up the
family.

5. Education and medical treatments are free in
Libya. Before Gaddafi only 25%
of Libyans are literate. Today the figure is 83%.

6. Should Libyans want to take up farming career,
they would receive farming
land, a farming house, equipments, seeds and
livestock to kick- start their farms
– all for free.

7. If Libyans cannot find the education or medical
facilities they need in Libya,
the government funds them to go abroad for it –
not only free but they get US
$2, 300/mth accommodation and car allowance.

8. In Libyan, if a Libyan buys a car, the government
subsidized 50% of the price.

9. The price of petrol in Libya is $0. 14 per liter.

10. Libya has no external debt and its reserves
amount to $150 billion – now
frozen globally.

11. If a Libyan is unable to get employment after
graduation the state would
pay the average salary of the profession as if he or
she is employed until
employment is found.

12. A portion of Libyan oil sale is, credited directly to
the bank accounts of all
Libyan citizens.

13. A mother who gave birth to a child receive US
$5 ,000

14. 40 loaves of bread in Libya costs $ 0.15

15. 25% of Libyans have a university degree

16. Gaddafi carried out the world’s largest irrigation
project, known as the Great
Man-Made River project, to make water readily
available throughout the desert
country.

AND EVERYONE THOUGHT GADAFFI WAS BAD?????

mkuu si tulishaambiwa kuwa ukitaka kumshika mwafrika masikio kwa uzuri usimsimulie. Muwekee kwenye maandishi. Ndo hiyo mijitu unayobishana nayo. Iko karibu %90 Afrika nzima.
 
Back
Top Bottom