Judging Gaddafi with open mind!!!

Source ndio hiyo the green book? tuwekee basi references tukakitafute...
 
Naona huyu jamaa ni afisa habari na mahusiano wa marehemu Gaddafi. Pesa za Libya zilizo chezewa kama hazina mwenyewe ndiyo sababu tunaona kuna wenzetu wengine wanalialia hapa. Hope umewasikia watawala wapya,wameshukuru UN,EU na Arab League kwa msaada wao kwa wananchi wa Libya kuondoa utawala wa Gaddafi.
 
Kwakweli mi sijui ningeomboleza kwa stail ipi??

Mkuu mimi sipendi kushangilia kifo cha binadamu mwenzangu...isipokuwa ningefurahi kama tungemuweka pembeni kwa maandamano na baada ya hapo tunamshughulikia kwa mujibu wa sheria kwa kufanya biashara ikulu...
 
Dear The Romantic and the write of the article you have quoted from.

It is quite unimaginable to see Hon Bernard Membe drumming for Gaddafi. I will never forget about what he did to Tanzania in 1978 - 1979 when he brought his army and weaponry to fight Tanzania by joining hands with Idd Amin - the former brutal dictator of Uganda. Even though he apologized and Tanzania forgave him, taking a low profile about his fall would at least be an honor to fellow Tanzanians who lost their life on our behalf protecting our land. Gaddafi's policies in Arab countries failed he turned to Africans of the sub-sahara mostly corrupt leaders who can be easily bought by cheap money. Leaders who do not care about their people but value their personal gains and cheap business travels for Africa initiatives which has never worked for us. We are aware that Gaddafi used to foot most of AU expenses people like Membe were enjoying to save allowances paid at home for their self aggrandizement.

Membe pretends to talk on our behalf - hatujamtuma. Every Tanzania is entitled to a free opinion and views about the fall of Gaddafi. Some are sympathetic, some are indifferent some did not like his hanging on power and excluding the majority of Libyans from their inalienable rights to determine how they should be governed from time to time. It doesn't mean that Gaddafi did not do a single good thing, the fact that he was politically manipulative and eliminated brutally all who had different point of political view from his, leaves nothing less for us than just feeling a relief for his departure.

So Membe should give his personal views, if he likes Gaddafi well and good but he should not continue using a name Watanzania to debase the noble course of NTC. I support struggles for all who are suppressed, the rest are outcomes. If African leaders want that not happen then that is a lesson to learn, they should stop manipulating people political wishes. If Tanzania really liked him then we should have send our armies to fight against NTC, we have a strong army we would have prevented his demise somehow, otherwise let Membe stop using Watanzania for an airy agenda.

Au tumkaribishe college mate wangu Al Saif Islam Gaddafi aje apumzike kule Bahari Beach kama malipo yake kwetu kwa kile alichofanya baba yake kwa vijana wetu kule Uganda.

Huh very annoying Membe!
 
[h=2][/h]
Benard Mende ni msilam aliyebadili dini ili akasome shule za misheni. na izo ndoto zake za linacha za kulikamia pango la magogoni naona zinamyeyukia kama barafu. mtu waliyekuwa wanampelekea kadi za michango mithili ya wafanyavo makapera wakitaka kuoa au kuolewa kafa. anajiuliza atapata wapi mchango wa 2015? labda aende kwenye miradi ya Kinana pwani ya Somalia wakateke meli.
membe sasa aandike maumivu makali..........ukiona mtu mzima anakiri kwenye tv ya kuwa usiku wa kifo cha swahiba wake hakulala kabisa alikuwa anaangalia luninga hadi saa nane usiku ujue njozi ya uraisi ndipo ilipokatikia................hana mfadhili wa kumrundikia mapesa ili awarubuni wa sisiemu wenzake kwenye vikao vyao vya siri vya kupeana ulaji...........
 
Jamani mimi kaka yangu alisoma na Membe pale londo na jina lake lilikuwa hilohilo. Mwenye ushahidi naomba aseme kabla ya kuingia ukristo alikuwa nani kwa jina
 
Haya wana JF naona ni Membe na wana mtandao hapa hoja hakuna ni matusi kwa kwenda mbele. Mimi kimyaaa

mara nyingi ukweli huuma tu.......................................na kimya ni kukubali kuelemewa.......................lakini msema kweli ni kipenzi cha Muumba.........................ingawaje mwanadamu humchukia..................
 
Nashangaa kuona baadhi ya ndugu zetu wanashangilia mauaji dhidi ya ndugu zao, kisa! Uongozi, hivi jamani uongozi umekuwa na thamani kubwa kiasi gani hata damu za watu zikahalalika kumwagwa bila huruma! Homa hii watanzania imeanza kuwaingia kiasi cha kutokuwa na subira wakatamani kufanya chochote hata kuua ali mradi malengo yao ya kisiasa yatimie! Twaenda wapi watz? Kiasi cha kutamani kiranja wetu apinduliwe na kuuawa???
 
Jamani mimi kaka yangu alisoma na Membe pale londo na jina lake lilikuwa hilohilo. Mwenye ushahidi naomba aseme kabla ya kuingia ukristo alikuwa nani kwa jina

hata akilijibu hili swali tutathibitisha vipi ya kuwa tunaelezwa ukweli?.........................ila ana masilahi mazito kwenye masuala ya udini hususani mahakama za kadhi na oic...................................kuna wakati alidiriki kudai tumwamini yeye....................as if this country was created for him and by him.........................wakati hata kabla hajazaliwa nchi hii ilikuwepo..............we can talk about stupendous megalomania.......
 
Bado hapa kwetu kitatokea kama kilichotokea kwa gaddafi waendelee tu kufanya upuuzi nq kuifanya hii nchi ni ya watu kadhaa, hamna mtu aliyetegemea gadaffi watamfanyia hivi au yeye mwenyewe hakutegemea haya yote, sasa CCCm subirieni tu.....

the time to talk to this wicked generation of leaders is truly running out................
 
mi nilimpenda sn M.GADAFI na ninasikitika sana kwa yaliyomkuta ila kwa mkuu wa kaya mh sijui!
 
Kifo sio kitu kizuri hata mwenyenzi mungu nahamini haimpendezi, nashauri tumtoe kwa nguvu ya umma au katika box la kura, alafu tumwache ashughulikiwe na sheria za nchi, ukonga panamfaha sana pale kuwa makazi yake ya milele, sasa hivi nasikia yupo Australia anakula bata tu, ugali wa ukonga utamfaha sana huyu.
 
Hivi chaguzi zetu,kuna mgombea yoyote aliyewahi kufadhiliwa na mataifa ya nje? Kama yes, ni kwa kiasi gani? One thing that most of leaders in Africa would remember the late Gaddafi, ni huruma yake kwa waliokuwa tayari kujipendekeza na kuomba misaada hata kama ni risasi za kumpindua rais au kuzima wanaompinga. Yeyote atakayeanza was his friend indeed!

kadaffi was different......................................he enjoyed destabilizing Africa...........................at last he got his wishes when he, himself, was also destabilized to the painful end..............................
 
Africa ni bara jeusi. Limejazwa vibaraka na majuha, hata wanamapinduzi wachache waliopo hudharauliwa na kuonekana wenye dhambi tu.
Ulaya pamoja na utajiri wao na nguvu za kiuchumi na za kijeshi walizonazo, wameungana pamoja, wanatumia sarafu moja na wana jeshi moja.
Sisi miafrika tuliolaaniwa tunapigania utengano. Usiwashangae majuha wa Libya (Kukataa maisha bora kabisa katika viwango vya kidunia, kwa kushawishiwa na dhana ya kijinga kabisa ati dikteta katawala miaka mingi, anataka kumrithisha mwanawe), hata kama angetawala mpaka kifo chake cha halali, serikali yake ilipigania ustawi wa watu wake na mataifa mengine masikini ya kiafrika.
Sisi wenye kujidai tuna demokrasia ya kuchaguana tuna nini? Kila kiongozi anayeingia madarakani anafanya ufisadi wa aina yake na kuondoka. Hiyo ndio demokrasia wanayoipenda mabeberu. Hakika hakuna hata nchi moja yenye kufuata western democracy iliyoweza kufikia ustawi wa watu wa Libya, hata hao mabwana wa vibaraka waasi (Marekani), hawakufikia ustawi wa watu wa Libya. Na Watu wa Libya watajutia kwelikweli upumbavu wao.

Nashukuru mkuu kwa kunipunguzia niliyotaka kuyaainisha. Labda nirudishe swali kwa wanajf, ni kiongozi gani hapa afrika anayefanya kama gaddafi alivyokuwa anawahudumia wananchi wake? Naomba mungu anijalie nione mabadiliko waliyokuwa wanayataka hawa walibya. Laiti tungekuwa na kiongozi mmoja kama gaddafi?
 
Back
Top Bottom