Daudi ndiyo yatarudishwa lakini sidhani kama Ikulu inaweza kupunguza au kuongeza zaidi ya 10-15% ya yatakayopendekezwa na kamati.ila kumbuka maoni yote yatarudishwa pale Ikulu kwa ajili ya kupitiwa na yule m'baka haki.
Watu wenye akili finyu mmeshaanza kuingiza mambo ya itikadi.Big up chama changu pendwa CCM tuko juu
Lusinde hawajamteua?
Taarifa za kuaminika toka Magogoni ni kuwa Rais Jk ameteua tume ya katiba mpya ambayo itaongozwa na Jaji Joseph Warioba!
Katika timu hiyo wapo
Profesa Mwesiga Baregu,
Dk Salim Ahmed Salim,
Ndugu Joseph Butiku,
Dk Sengodo Mvungi,
Esther Mkwizu,
Yahya Msulwa,
Said El Maamry
ila kumbuka maoni yote yatarudishwa pale Ikulu kwa ajili ya kupitiwa na yule m'baka haki.
mkuu kwako hakuna zuri hata moja.
JK mbona amekuwa mtu mwema na mkarimu hivi ghafa?Hii kamati ikipendekeza muda wake uongezwe ili katiba ikamilishwe sidhani kama kuna atakaye bisha.lol!
Anyways timu nzuri, hongera JK.
Shivji vipi?
mwenyekiti ni jaji joseph warioba na makamu wake ni jaji augustino ramadhani.
ina wajumbe 30 , 15 kutoka tanzania bara na 15 kutoka tanzania visiwani.
Katika timu hiyo wapo .
.profesa mwesiga baregu,
.dk salim ahmed salim,
.ndugu joseph butiku,
.dk sengodo mvungi,
.esther mkwizu,
.yahya msulwa,
.said el maamry  N.K