Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
haya baada yakutafakari muelekeo wa siasa za nchi yetu ninahisi kuwa kuna uwezekano wa uhusiano wa Jina la kiongozi na hali ya nchi, kwa mfano Nyerere na swala zima la ujamaa jina likiwa na asili ya nyenyere wale wadudu wadogo. Vile vile Mwinyi alivyokuwa kuwa mzee wa ruksa kama umwinyi unavyo fahamika, Mkapa yeye alipo kuja na falisafa ya ukapa au kukosa....toka kapa...sasa huyu ndugu yangu Kikwete nadhani anaweza akaja na jina ambalo nashindwa kulitaja hi hi hi hi hi