Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Mtu ukishaandikiwa notification na Police Trafic kwa kosa flan na ukailipa sasa ni kwa muda gani notification hiyo inakua valid hata ukishikwa tena within kipindi hicho huwezi andikiwa tena kwa kosa la namna hyo?