Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,637
- 13,052
kama kawaida yao na ubishi wwt wa kujua haki zako ujue virungu vitautenda mwili wako bila simile kwa kisingizio cha TUMIA NGUVU KIASI KUFANIKISHA UKAMATAJI ENDAPO MTUHUMIWA ANAGOMA KUKAMATWA. Hicho ni kifungu ndani POLICE GEN. ORDER Kinachowapa jeuri ya kututenda. SASA HII C INAENDELEA KUWAPA NYODO HAWA WALINZI?
Je?askari polisi ana haki ya kukudai leseni ya udereva anapokusimamisha unapoendesha gari barabarani.
Je?sheria hizi zinapatikana wapi.
Je?ni kweli kwamba mtu akiwa uchi haruhusiwi kukamatwa.
Naomba utufungue macho
Je?askari polisi ana haki ya kukudai leseni ya udereva anapokusimamisha unapoendesha gari barabarani.
Je?sheria hizi zinapatikana wapi.
Je?ni kweli kwamba mtu akiwa uchi haruhusiwi kukamatwa.
Naomba utufungue macho