Ni kosa kisheria kukataa dhamana na kama mahakama ikiamua inaweza kukuacha ndani kama adhabu kadri itakavyoona inafaa. wale wenzetu watatuambia ni mkono wa CCM
Atatoka baada ya kuwa ndani kwa siku 14 hata baada ya mahakama inayoongozwa na serikali legelege kupigwa mkwara na chama strong kwamba lazima Kamanda Lema a.k.a Mandela, a.k.a Steve Biko, a.k.a Che Guevara, a.k.a Julius Nyerere, mpiganaji; atoke! Chama STRONG kimeshindwa kuishinikiza serikali LEGELEGE.....wait! wait! wait! nahisi kama nimechanganya mambo hapa!.....HIVI ni SERIKALI LEGELEGE dhidi ya CHAMA STRONG au ni serikali legelege iliyo-PROVE kwamba ni SERIKALI STRONG ISIYOTETEREKA dhidi ya CHAMA STRONG kilicho-prove kwamba ni CHAMA LEGELEGE!!!
Mlioko Arusha tupeni updates za mapokezi ya Lema kesho zinaendeleaje?
Tutaenda kukesha tena kwenye viwanja wa unga limited tufanye mapinduzi ya kuchukuwa nchi
Wadau, zimebaki saa chache ambapo mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema atoke kule lupango. Ikiwa Hakimu siku hiyo ameamka akiwa na "stress" akasema hakuna dhamana, kwamba arudi Kisongo au ipo.
Unadhani Lema atakubali kurudi lupango? Je unadhani Mh.Lema amebadilika? Unatazamia nini mapokezi yake?
Nawasilisha
Tanzania, Tanzania nakupenda kwa moyo wooote.
Lema kajidai mjanja kuwa anaweza kuingia na kutoka apendavyo, nasikia na kesho kama hajatimiza masharti ya dhamana ataendelea kusota ndani, akipenda asipende. Hapo ndipo tunapojuwa kuwa Serikali ipo.
kwahiyo mnataka kuniambia wajanja mtaani wamepakua mzigo wake kiulaini kabisa?? ayaaah! noumer sana mjini