+255
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 1,940
- 762
Hadi stage aliyofikia tunatakiwa tumpongeze ukilinganisha na elimu yake!! Ka ulishaangalia show zake hauwezi ukaamini ka ana hiyo elimu kwa jinsi anavyo host vizuri!? Kuna show nyingi za wengine tumeona zimefail pamoja ya huwa host wake wamesoma ka ile ya Mary Rose (ka sijakosea) ya Star tv kuna ile ya Sporah naona huwa ya kawaida sana..C.T.U said:still elimu bado ni muhimu...
kwa maelezo yake tu nimeshaona
kasoro Inayosababishwa na elimu