Joyce Banda: I shall die for the land of Malawi!

Tanzania ni dhaifu kuliko wakati mwingine wowote kuweza kuingia vitani..
 
Huyo lecturer hamnazo. So claiming the whole lake Nyasa makes Malawi not a landlocked country, and so it can be equivalent to having a strip toward the Indian ocean! Poor logic, the so called give and take as per his statement. Malecturer kama hawa wapo hata hapa bongo.
 
Propaanda za kuwadanganya wananchi wao kuwa serikali yao iko diplomatic!

Waseme watakalo, sisi tunachojua ni kwamba ziwa letu hawapaswi kuligawa kwa wafanyabiashara.

Juzi rafiki yangu Mmalawi kaenda Nkhata bay yeye anaishi Lilongwe. Status update yake kule facebook ilisoma "while we want to avoid war we must be prepared for one" jamaa ni kama political commentator wa Malawi na hii article hapa inaniaminisha kwamba labda alikuwepo kwenye msafara wa rais

Nachosema ni kwamba wenzetu wanasema lengo lao ni kutumia diplomasia ila pia wanajiandaa kwa vita. Sisi tusiwe kama debe tupu haliachi kupiga kelele. Huko wizara ya ulinzi naamini kumejaa hujuma ambazo zikiibuliwa ni full kichekesho as to our readiness for war
 
Lakini mazungumzo si yanaendelea? Natumai muafaka utapatikana na hakutakuwa na vita!
 
Juzi rafiki yangu Mmalawi kaenda Nkhata bay yeye anaishi Lilongwe. Status update yake kule facebook ilisoma "while we want to avoid war we must be prepared for one" jamaa ni kama political commentator wa Malawi na hii article hapa inaniaminisha kwamba labda alikuwepo kwenye msafara wa rais

Nachosema ni kwamba wenzetu wanasema lengo lao ni kutumia diplomasia ila pia wanajiandaa kwa vita. Sisi tusiwe kama debe tupu haliachi kupiga kelele. Huko wizara ya ulinzi naamini kumejaa hujuma ambazo zikiibuliwa ni full kichekesho as to our readiness for war

Mkuu,
Jeshi lolote ni lazima liwe tayari kwa vita ya kulinda mipaka yake yote wakati wote.
The fact kwamba Malawi ndio walioanzisha chokochoko inawaondolea uhalali wa kupretend to be diplomatic.
 
Nina mengi ya kuongea ila umakini mkubwa katika hili unahitajika, Ikitokea vita Malawi inaweza kufutika katika ramani ya Afrika kwa muda kabla AU, EU pamoja na UN kuingilia ili kutoa mwongozo.

Midomo yao inaweza kuwagharimu sana...Na wakifanya mchezo watashangaa watanzania wengi wakajazana pale Blantyre na kule Lilongwe kama vile uswahilini kulivyo.
 
Huyo lecturer hamnazo. So claiming the whole lake Nyasa makes Malawi not a landlocked country, and so it can be equivalent to having a strip toward the Indian ocean! Poor logic, the so called give and take as per his statement. Malecturer kama hawa wapo hata hapa bongo.

This lecturer has also reminded me of Professor Safari wanting to use Berlin conference to settle this dispute. I was only thinking to myself what use is to have intellectuals when all they do is to give us misleading advice
 
Acha ajibaraguze tutawatandika kweli ooh! Akamuulize yule muasi wa comoro, chezea baba Miraji huyu mama!
 
Tanzania si dhaifu hata kidogo!!! bali rais ndiye dhaifu yeye pamija na chama chake anachokiongoza cha CCM.
 
tutawaunganisha bila wao kutaka ila kale kasheria ka Umoja wa Mataifa ndio kikwazo...anyway, kwa nchi kama Malawi kuwapiga, kwa wakati huuNIA TUNAYO UWEZO TUNAO NA SABABU TUNAZO.
 
lecturer anataka tuwape upande wa bahari? anakaribishwa kwetu Pemba tutampatia ili mradi aje kinyumenyume akiwa kavaa suti ya nyama.
 
hili swala tungemwachia lowassa alishughulikie kama alivyolishulikia lile la misri na ziwa victoria
 
mitandao yao mingi Wamalawi wanacomment mbona tafiti za mafuta zilianza kwa rais aliekufa na Tanzania hawakusema kitu? Yani kuingia mwana mama JB ndo Tanzania wamekuja na vitisho mpaka kupeleka majeshi....Jamani kuhusu JK kukaa kimya sio kwamba ni dhaifu ila ni ustaarabu tu na delegation of power thats y tuna waziri wa mambo ya nje..Ndomaana ata rais wao alikua hajasema lolote zaid ya mawaziri wake na ata ktk hiyo hotuba hajesema nchi yoyote ile japo media ndo zimehisi kua anaiongelea TZ!
 
Back
Top Bottom