Lusajo Kyejo
Member
- Jan 10, 2008
- 33
- 6
Du? naona kama sinema je ya kweli hayo?
..."Unataka unifuate ninakokwenda?" Nilimuuliza wala sikujua ninakokwenda ni wapi. Safari ya sokoni nilijua imekufa kifo cha kienyeji.
"Nitakufuata, ukinitangulia" Alinijibu. Gari lake lilikuwa nyuma yangu na akaniashiria kwa taa kuwa yuko tayari kunifuata.
Badala ya kuendelea kuelekea mjini nilienda mbele kidogo na kugeuza kurudi ili niichuke barabara ya Mandela kuelekea Kurasini. Sina Jina alikuwa akinifuata kwa umbali kidogo kwa kila kona niliyokuwa nikikata...
...hadithi nzuri, na funzo kwa mafisi! Kwa kudhani umependwa, next time mtafuata 'ulimbo' kumbe ni jambazi! bure mkaporwe magari na hata uhai wenu kisa; tabasamu la binti mrembo!
aaah...bana si kuna 'hisia ya sita' inafanya kazi?
Najaribu tatizo mshiki hatabiriki huyu.dah..vivian nawe mtata? Hommie hebu do ze nidiful apo
Si umeona? Kesi imeshahamishiwa kwenye majukumuNipo msasha, majukumu yameongezeka kidogo bana.
Anajifanya hajuiMtata kivipi tena wahome?
Hebu nisaidie hapo hommie, mambo gani sasa haya?asa mshiki hizo coaster za ssa kumi mbeya zinafika saa ngapi kama sio kutafutiana lawama tu?
hehehe! Umenikumbusha USALULE na nyama za wo! wo! wo!Msasha muda sijui zinafika saa ngapi lakini kuna jamaa mmoja ana coaster zake zinaitwa CATS OF AFRICA. huwa zinaondoka hapa Dar saa tisa na nusu Mpaka saa kumi. wanazipenda sana wafanyabiashara wa tunduma. nafikiri msasha chrispin anataka kupeleka habari makambako manually!
Si umeona? mambo ya kupakaziana haya!hahaha, sasa hizo si angekuwa na mimi bana? huko kuna jengine tu.....
Mwanakijiji natoa order ya hii riwaya tafadhali.nyie watu mnasoma haraka hivyo!!! duh!
Afu we kajukuu umepotelea wapi? Sijaona mahari ujue!Mwanakijiji natoa order ya hii riwaya tafadhali.
...acha tu. 'machale' yanapotezwa au kuyeyushwa na tabasamu...
Honestly speaking hii tabia ya mtu anakutulizia macho na tabasamu ipo sana tu, ...na bila kuwa makini unaweza tupiwa swali la papo kwa hapo na maza-hausi "Mnajuana nini, mbona anakuangalia na kukuchekea?"
Apart from that, wengine 'Joto la mwili' huanza pale occupants wa magari fulani mnapoonana mara kwa mara time za kwenda/kurudi kazini kwenye hizi foleni 'za mujini'
Afu we kajukuu umepotelea wapi? Sijaona mahari ujue!
Hehehe! Mi hommie nilishawahi kugongwa konzi na wife. Nilijikuta napigia kifaa honi bila kujua niko na waifu kwa pembeni! Majaribu bana!Unajua, ukiwa kwneye gari na maza haus si inabidi usiangalie pembeni 'hovyo hovyo' na hivi kuna wale wanaoweza kusababisha mikono kuota manyoya!\
kuna wengine, huwa inatoke tu, mfano jana mitaa ya posta, nilikwenda kuangalia barua, mara hamad nikakutana na 'kifaa' cha ajabu kabisa, ile najing'ata ng'ata mwenyewe akanisalimie "mambo"..nikajitutumua poa, akapita fasta na mibahasha yake....nilitamani kumsifia lakini wapi bana.....ninaye ninayemsifia kila siku, nikamshukuru Mungu tu
kutoka nje nikaona huyo anaingie kwenye gari, sema mwingine angeifatilia kabisa!
Sasa tabia ya kutokuamkua wazee umeanza lini? Ningekomaa mama yako angezaliwa?Hahah Babuuu mahari?? ya nani?
Mi namsubiri mwanakijiji!! Atakuwa ananithimulia hadithi
Sasa tabia ya kutokuamkua wazee umeanza lini? Ningekomaa mama yako angezaliwa?
Ah Babu nithamee 'Shkang' Babu!!
Hehehehe! Umenikumbusha mbaaaali sana!.......Ah Babu nithamee 'Shkang' Babu!!
Hehehe! Mi hommie nilishawahi kugongwa konzi na wife. Nilijikuta napigia kifaa honi bila kujua niko na waifu kwa pembeni! Majaribu bana!
haluuu! si ajabu angekushusha kisha yeye achape lapa na gari akwmabia ukamtomgoze vizuri jioni umpe majibu!
kha kosa la red card hilo hommie...hawa viumbe hawa~