Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Ngoja nikafanye the needful maeneo ya SHIMO LA UDONGO!nipo ndugu yangu!mkoloni ananifanya kitu mbaya
Ngoja nikafanye the needful maeneo ya SHIMO LA UDONGO!nipo ndugu yangu!mkoloni ananifanya kitu mbaya
utafanyaje???Ngoja nikafanye the needful maeneo ya SHIMO LA UDONGO!
Ngoja nikafanye the needful maeneo ya SHIMO LA UDONGO!
Wa kwako muda si mrefu ataanza kutembelea mikono na kuangalia kwa masikio.utafanyaje???
wangu alikushinda huyo wa Goeff utamweza???
You are damn right! Afu na wewe mshiki mbona unapoteaga kama milango ya tukutuku?Hapa ndipo zinapatikana zile coaster ziendazo Mbeya saa kumi mchana, au nimekosea msasha?
Hapa ndipo zinapatikana zile coaster ziendazo Mbeya saa kumi mchana, au nimekosea msasha?
wat??? (am tryn to imagine)Wa kwako muda si mrefu ataanza kutembelea mikono na kuangalia kwa masikio.
You are damn right! Afu na wewe mshiki mbona unapoteaga kama milango ya tukutuku?
dah..vivian nawe mtata? Hommie hebu do ze nidiful apo
nipo ndugu yangu!mkoloni ananifanya kitu mbaya
Mtata kivipi tena wahome?
asa mshiki hizo coaster za ssa kumi mbeya zinafika saa ngapi kama sio kutafutiana lawama tu?
Msasha muda sijui zinafika saa ngapi lakini kuna jamaa mmoja ana coaster zake zinaitwa CATS OF AFRICA. huwa zinaondoka hapa Dar saa tisa na nusu Mpaka saa kumi. wanazipenda sana wafanyabiashara wa tunduma. nafikiri msasha chrispin anataka kupeleka habari makambako manually!
Na. M. M. Mwanakijiji
Summary please.....
Hey, we wanted it to be even Longer!! Sorry Shshi. Somebody once said if you want to hide something from an African put it in writing, Please dont make me think you fall under that category.
Anyway ni story ya kufikirika na ni nzuri sana! tena sana!! This guy is really a great thinker.
Shishi just print the story n you can read it at home on your own time.
cheerz!!!
vipi we mama..!Summary please.....
noted!10th April 2010....... quitting the club!! .