Joto la Mwili

My dia yule IGP alitolewa nje coz alikuwa nasoma so na unajua loleza ni madem tu zen full msimamo,alijua akikubali tu no xul
Jamani my lulu hebu stuka.Hwa madenti ndio wenyewe kwenye hizi engo.ebu niambie kuhusu mabibo hosteli? sio ndo hao wanaotoka Loleza.ni basi tu mchungaji alimpagawisha ndio maana siku ya pili alipigiwa simu hakupokea.
 
Jamani mashemeji zangu wanakukwaza nini? ikizingatia sio 'mchungaji' ni kwayamasta tu.
na hii hatari ipo kotekote hasa hotelini.

ina maana biggy huwaamini ndugu zako eeeh!!!! kwani Charity yeye ni mayasa??
 
Hiyo story ni nzuri lakini jaribu kubadilisha ending... manake ilikuwa haina haja huyo mama apotoze fahamu...

hivo alivovipewa hoteli Usambara, kisha kukuta kuwa ndo mchungaji, asipoteze fahamu nii nini na yeye alikuwa amelelewa 'kimaadili'? LOL

bado kukumbana na hayo eeh Noname...
 
mi nadhani pia alipata kizunguzungu sababu alishapata mimba ya yule mskaji sina jina. so alipomuona tu na kitoto kikacheza huko tumboni hadi akafeel dizy mazee au?
 
Jamani my lulu hebu stuka.Hwa madenti ndio wenyewe kwenye hizi engo.ebu niambie kuhusu mabibo hosteli? sio ndo hao wanaotoka Loleza.ni basi tu mchungaji alimpagawisha ndio maana siku ya pili alipigiwa simu hakupokea.

aaah sisy kuna nini pale?? wapo hata wa mbeya tech na mazengo pale ujue!!!
 
hahaaa, kama Kaizer ukisomea vidole unakuwa fasta!!! Nshamaliza!!! ooooh mayasaaa, mama mayasaaaaa duh!!!

afu wewe jana si ndo uliniambia nsilale mapema, ona sasa!!!!

Hehehe! Nilikuwa nakupa tizi la kumlea Evander Hollyifield!

Ooooh Mayasaa Mama Mayasaa
Oooooh Mayasaaaaaa
Uzuri ni wa kuzaliwa naooooo!:D:D:D
 
Kaka Mwanakijiji, kwanza nakusifu kwa riwaya yako nzuri, fupi na ya kuelimisha.Katika riwaya hii msomaji anaelezwa kuhusu kitu Love on First Sight kati ya huyu Mama/Dada na yule Mwanamme/Kaka, ujasiri wa huyu Mama kuchukua /kukodi chumba cha hoteli ili wapate privacy, kufanya oral sex bila kinga na baadaye kufanya penetrative sex boila kinga!! Hata hivyo baadaye bnaona huyu Mama/Dada alijawa majuto kwa alichofanya ikiwa ni pamoja na kusaliti ndoa yake. Kwa miujiza ya muumbaji, familia inayoishi? huko Mbagala inakwenda sali Magomeni na huyo Mama kufunuliwa kuwa aliyezini naye ni Mchungaji. Ujumbe ni kwamba, tuheshimu ndoa zetu, tusimwamini yeyote!! Asante kaka Mwanakijiji, nina imani ukiendelea na utunzi huu utampiku Shigongo na baadaye hata mama Agatha Christie!!!
Mama umesema yote na nakuunga mkono mia kwa mia. Yaelekea wewe ni bingwa wa kufupisha story ya maneno elfu moja kuwa mia moja na ujumbe kubaki uleule, hongera kwako na kwa Mwanakijiji kwa pamoja.
 
hivo alivovipewa USALULE, kisha kukuta kuwa ndo mchungaji, asipoteze fahamu nii nini na yeye alikuwa amelelewa 'kimaadili'? LOL

bado kukumbana na hayo eeh Noname...
Hehehe! Hommie bana! Twende kazi:D:D:D
 
mi nadhani pia alipata kizunguzungu sababu alishapata mimba ya yule mskaji sina jina. so alipomuona tu na kitoto kikacheza huko tumboni hadi akafeel dizy mazee au?
Hehehehe! Mbavu zangu..........!
Inaelekea mchungaji alikuwa shapu shuta! Kamimba ka wiki kadhaa mtoto anapiga samasolti kwa tumbo? LOLZ!
 
Kwa utaratibu alikichezea kisima na kuta zangu....Bzzzzzzzzzzzzz!!
 
MMK anamchumba uchagani? Hii inahitaji sredi! wachaga wanajua kukamata watu!
Na bado na bado nimesema bado!
Vumilia maisha yangu utakula vya kwangu.......
Mbona wanitazama kisha waanza kulia
Kama nimekukosea naomba nisameheeeee!
 
I knw dia but inavyoonyesha mambo ya huko loleza ilikuwa ni miaka ile ya uongozi mgum not zis daiz bana watoto ful kujiachia kama kuku wa kienyeji tu ,maana mpaka huyo dada kaolewa!seem ni miaka ya huko 200......
Jamani my lulu hebu stuka.Hwa madenti ndio wenyewe kwenye hizi engo.ebu niambie kuhusu mabibo hosteli? sio ndo hao wanaotoka Loleza.ni basi tu mchungaji alimpagawisha ndio maana siku ya pili alipigiwa simu hakupokea.
 
hivo alivovipewa hoteli Usambara, kisha kukuta kuwa ndo mchungaji, asipoteze fahamu nii nini na yeye alikuwa amelelewa 'kimaadili'? LOL

bado kukumbana na hayo eeh Noname...

what was she expecting ? giving herself to a totally stranger? hahaa stupid dumb...

Hapana mie sijakumbana na hayo.. duh! kasheshe...God forbid man...
 
what was she expecting ? giving herself to a totally stranger? hahaa stupid dumb...

Hapana mie sijakumbana na hayo.. duh! kasheshe...God forbid man...
Njoo nikuombee usikutane nayo.........
Utaleta thread hapa ya kuomba ushauri.
 
Mwenzio kazi ninayo.Ananifanya mie mayasa eti!

an wivu sana huyu Biggy, anatamani ungekuwa mkanda afungie sarawili yake.....

Ila utanisamehe Mayasa wangu. Sina hela ya RAV4. Utakamata tukutuku badala yake.

aaaah bana pickup basi si unajua kule mlimani hii ni muhimu ukizingatia ujasiria mali wa Charity!!!
 
Back
Top Bottom