Hehehe! Hiyo Ki-Mila inaitwa LOGISTICS!
khaa.halafu eti mchagga ndo aliponimaliza.....
hivi kumbe inawezekana kutongozana kwa macho eeh?
mmmmmmmmmh yani mwanakijiji ww!hadhithi nzuri sana,zo ni hadith but sadasada hakuna mataa bana na wala jamaa hawana mpango wwte wa kuyaweka yani ni chinja chinja tu!pia huyo mama mmmh mbn maharage ya mbeya hivyo?
Nataka ufafanuzi kwenye hiyo red.Vip tena shem........
Hii hadithi sijui ni true story au ya kufikirika tu! maana yake ni hatari tupu.
hahaaa usinikumbushe mitihani ya hivo, unasoma swali kwanza afu unaenda kutafuta jibu kwenye stori
ujue nimepata mawazo labda wewe na preta wakati MMK anaandika nyie mnaisoma. alipogonga key ya mwisho na nyie mkamalizia.......dah nyie wakali
Huyu mama sio maharage ya mbeya.si umesoma jinsi alivyomtolea nje IGP wa mbeya?mmmmmmmmmh yani mwanakijiji ww!hadhithi nzuri sana,zo ni hadith but sadasada hakuna mataa bana na wala jamaa hawana mpango wwte wa kuyaweka yani ni chinja chinja tu!pia huyo mama mmmh mbn maharage ya mbeya hivyo?
hhaha ROFL Girl yani uminichekesha wewe..mmmmmmmmmh yani mwanakijiji ww!hadhithi nzuri sana,zo ni hadith but sadasada hakuna mataa bana na wala jamaa hawana mpango wwte wa kuyaweka yani ni chinja chinja tu!pia huyo mama mmmh mbn maharage ya mbeya hivyo?
Likewise! Hehehe! Hapa wapwa wamepata sehemu ya kukimbizia mchana mwema.hommie nimedo ze nidiful! hahaha yaani ndo manake!
mr! hapo ndio unataka kusemaje?...uctake nikununie leo ulale njaa.
Hahaha! Siku hizi unasomea vidole? Mamushka hukosi vituko! BTW leo imekuwaje umechelewa kuamka? Sore ofu topiki.mie tena ndo kwanza naisoma....ngoja nimalizie sasa
Nataka ufafanuzi kwenye hiyo red.
Hapo kwenye blue hatari yake ilikuwa wapi? Kanisani au Hotelini?
Huyu mama sio maharage ya mbeya.si umesoma jinsi alivyomtolea nje IGP wa mbeya?
sema tu huyu mchungaji ana limbwata au ana pepo wa kutongoza kwa macho.
Noted.......Jamani mashemeji zangu wanakukwaza nini? ikizingatia sio 'mchungaji' ni kwayamasta tu.
na hii hatari ipo kotekote hasa hotelini.
Hahaha! Siku hizi unasomea vidole? Mamushka hukosi vituko! BTW leo imekuwaje umechelewa kuamka? Sore ofu topiki.