Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Uporoto01 jamaa nilikuwa namjibu inbox anag'ang'ania mbaya,ila si unajua watu wanazusha tuMimi wala simshangai huyo x wako,mwaka jana mwanzoni hawa mastaa wetu wakike waigizaji/waimbaji waliulizwa kati ya mastaa wakiume nani mnamkubali kwa mambo ya chumbani ? na jina la Joti lilitajwa sana walidai jamaa ana miguu mitatu na anajua kuutumia huo wa ziada.Sasa hili la sijui wana-mkameron sidhani kama ni kweli.