Joshua Nassary, kulikoni...?

Nipige Nisipigeee?.........Pigaaaaaaa aaaaa
Bendera ya CCM ina rangi ganiiiiiiiiiiiiii?............ .......Kijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mahindi yanaota na rangi ganiiiiiiiiiiiii?............K ijaniiiiiiiiiiiiii.
Ukipanda mpunga unaota na rangi ganiiiiiiiiiiiiii?............ .Kijaniiiiiiiiiiiiiiii
Migomba yote ina rangi ganiiiiiiiiiii?............... ............Kijaniiiiiiiii.
Piga makofi na vigelegele kwa chama cha mapinduzi.

nzi wa chooni wana rangi ganiii
 
mbona aliongea juzi kati hadi naibu spika akasema hivi'' mh nassari unaongewa kwa sauti ya juu sana kana kawamba unapigana au unagombana na mtu, jamana waheshimiwa wabunge tuongee kwa sauti ya kawaida na hoja zetu zitasikika''

katika kujibu nassari alimjibu hivi '' hii ndio sauti yangu na ndivyo ilivyo ni sauti iliyojaa hekima na mamlaka, inafundisha, inakemea pia''

naibu spika akamwambia basi endelea......nadhani mkuu session ile ilikupita ,ilikuwa wiki ya kwanza ya kujadili bajeti ya serikali iliyowasilishwa na mgimwa

Asante mkuu kwa kutusaidia kumjibu huyu mjumbe hapo juu,maana wengine tumepoteza moral ya kuangalia Bunge sababu limepoteza maana kabisaaa(kariakoo)
 
-alichangia mara 1 katika bunge kabla ya bunge hili la budget(mwez wa 4)
-aliuliza swali 1 kwa waziri mkuu,
-aliuliza swali 1 kwa waziri wa mali asili na utalii
-alichangia budget kwa maandishi
-alichangia budget ya waziri mkuu
sasa mkuu unataka akuwakilishe vipi zaidi ya hivi..?
 
-alichangia mara 1 katika bunge kabla ya bunge hili la budget(mwez wa 4)
-aliuliza swali 1 kwa waziri mkuu,
-aliuliza swali 1 kwa waziri wa mali asili na utalii
-alichangia budget kwa maandishi
-alichangia budget ya waziri mkuu
sasa mkuu unataka akuwakilishe vipi zaidi ya hivi..?
Godwinnko eka nsuri...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom