manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Ni muda kidogo umepita tangu kikao cha bunge kuanza bila kumsikia Mbunge machachari Mh Nassary.
Kwani imekuwa tofauti na kauli zake akiwa kwenye Kampeni kwamba "Mimi kwangu ni vitendo tu na wananchi mtaniona nikifika bungeni''.
1.Au ile kauli yake aliyoitoa ya kuigawa nchi kwa majimbo na kuandamwa sana na vingozi mbalimbali wakiwa na wachama chake imemfanya aingiwe woga.?
2.Ama ni Kamanda Mkuu amemweka chini na kumwambia achunge sana anachosema?
3.Ama Mh Nassary ni kwamba wananchi wako hawana shida yeyote ambayo inastahili wewe kuwasemea bungeni?
Please Nassary ulituahidi wananchi wako wa Arumeru tena kwa kusema "HAKI YA MUNGU NITAKULA NAO SAHANI MOJA MPAKA KIELEWEKE''
4.Ama ndiyo kimeshaeleweka hivyo?
Na usikubali kutishwa na wewe ukatishika kwani safari ndo kwanza unaianze sasa unaonyesha kukata tamaa mapema mno.
Kwani imekuwa tofauti na kauli zake akiwa kwenye Kampeni kwamba "Mimi kwangu ni vitendo tu na wananchi mtaniona nikifika bungeni''.
1.Au ile kauli yake aliyoitoa ya kuigawa nchi kwa majimbo na kuandamwa sana na vingozi mbalimbali wakiwa na wachama chake imemfanya aingiwe woga.?
2.Ama ni Kamanda Mkuu amemweka chini na kumwambia achunge sana anachosema?
3.Ama Mh Nassary ni kwamba wananchi wako hawana shida yeyote ambayo inastahili wewe kuwasemea bungeni?
Please Nassary ulituahidi wananchi wako wa Arumeru tena kwa kusema "HAKI YA MUNGU NITAKULA NAO SAHANI MOJA MPAKA KIELEWEKE''
4.Ama ndiyo kimeshaeleweka hivyo?
Na usikubali kutishwa na wewe ukatishika kwani safari ndo kwanza unaianze sasa unaonyesha kukata tamaa mapema mno.