Kauli za CHADEMA zina mshiko kwa maana zina faida,tuanze na PEOPLE'S POWER ikaleta wabunge 48.M4C mwanzo tu mbunge 1 na bado changa,ikikomaje!baraam.Ahsante kwa kutujuza tarehe ya shangwe DOM,tu pamoja RAB atupe nguvu za kupambana zaid hadi yale tuyatakayo yatimie.