sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
hivi kwa nini yule mama mshumbusi bado jamii forums inamtambulisha kama mchumba wa dr slaa? Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 imesema bayana iwapo watu wawili wa jinsia tofauti wakiishi kwa kipindi cha zaidi ya mwaka basi jamii itaamini wao ni mume na mke(presumption of marriage) sasa uchumba wa josephine kwa slaa uko wapi ililhali tayari ameshamtundika na mimba?