Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,614
Mkuu samahani, kwani mama yako hawezi kuzaa tena?Binafsi natoa pole kwani mmezaa mjukuu. Je, hao mlio nao hawakuwatosha hadi mjizalie wajukuu. poleni karibuni kliniki mkafunge uzazi ili mlitumikie taifa.