KamaTi Kuu
Member
- Jul 24, 2011
- 6
- 16
Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
Mungu awabariki wapiganaji wa Tanzania mpya.Mchumba wa dr slaa amejifungua jana usiku pale hospital ya muhimbili saa tano usiku. MTOTO WA KIUME.Hongera josephine, hongera slaa mtoto sio mchezo.
Natamani kuona huyo mtoto wa kibabu na kabinti anafananaje.
Kweli mkuu..hapa huyu mheshimiwa anajidhalilishaBinafsi natoa pole kwani mmezaa mjukuu. Je, hao mlio nao hawakuwatosha hadi mjizalie wajukuu. poleni karibuni kliniki mkafunge uzazi ili mlitumikie taifa.
Hongera kwa kuleta kiumbe duniani, hivi huyu ni mtoto wa ngapi wa Dr. Slaa? naskia ana mabinti wakubwa tu. Ningependa niwe wa kwanza kupendekeza jina amuite Rizitwo
Waoo..mpen hongera dkt kwa kumpata mtoto aliyefanana na avatar yanguanafanana na avatar yako!!! pua ndefu utadhani mdomo wa mbuni!!
Binafsi natoa pole kwani mmezaa mjukuu. Je, hao mlio nao hawakuwatosha hadi mjizalie wajukuu. poleni karibuni kliniki mkafunge uzazi ili mlitumikie taifa.
Waoo..mpen hongera dkt kwa kumpata mtoto aliyefanana na avatar yangu