Aaaah, mbona unanidhania Mkuu?Haha,umetumwa unitafutie BAN nini?
am too old to be fooled.
Anzisha thread tu hapa utamjua.
bora wewe muelewa.mmmmhh! mie sikupiga kura ngoja nikubali tu matokeo lakini ...
Aaaah, mbona unanidhania Mkuu?
Mi nimeingia thread nakuta unalalamika...
Nambie basi hata kwa ishara, bila kumtaja... hahahaha
Hahahahaha, mkuu, umegoma kunambia?.........N/A :thinking:
kama unataka uwe wewe m pm supamen anaweza kubatilisha huu ushindi..kwanza huyu mshindi mwenyewe unaweza kukuta hana hata shida na huu ushindi wenyewe au hata hajui kuwa kuna jambo kama hili..i dont understand why u waste ya energy kulalamika. basi uwekwe wewe badala ya josephine?
What is name calling bana usinitishe.
kutaja Josephine ni name calling?
Yes,umetaja watu mara ngapi humu?
Yaani kutaja wewe sawa,kutaja mimi "name calling" na adhabu yake inajulikana?
Okey,waambie waitoe.
Mchakato wa Kumtafuta JF Politician Of The Year 2011 umekamilika baada ya kupigwa kwa kura za maoni na baadaye kuwashindanisha walioteuliwa na Tume ya Uchaguzi JF.
Tafadhali Rejea katika uzi ufuatao ili kupata historia:
1. Kura Za Maoni: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/230046-jf-m-and-f-politician-of-the-year-2011-competition.html
2. Upigaji Kura: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/231099-jf-female-politician-of-the-year-2011-a-2.html
Tume ya Uchaguzi ya Jamiiforums JEC baada ya kupitia mchakato mzima wa uteuzi wa wagombea na upigaji wa kura imeridhika kwa kauli moja kuwa Uchaguzi ulikuwa HURU NA WA HAKI na hivyo inatangaza kuwa:
Josephine ni: JF Female Politician Of The Year - 2011 - (FP)
Kwa kuwa mhusika ametangazwa mshindi inampasa kuwa na maadili mema kipindi chote atakachokuwa amebeba title hii. Tume haitasita kumnyang'anya ushindi atakapokwenda kinyume na maadili ya JF na Tume.
Sambamba na hilo Members wa JF wanaopenda wanaruhusiwa kumwita kwa jina lake la heshima yaani: FP-Josephine.
Pia sambamba na hilo zawadi ya TZS 50,000 itatolewa kwa mshindi wetu huyu.
Kwa niaba ya wana JF wote tume inapenda Kumpongeza kwa dhati kwa ushindi alioupata.
Wote Mnakaribisha Kumpongeza FP Josephine kwa Ushindi alioupata.
Wasalaam
Signed & Sealed:
Superman
Chairman - JEC
Ndugu yangu wenzako weekend hii wako na some of moderators wanakula bata pamoja wana haki ya kufanya lolote hapa jamvini, kama mngereview kilichosababisha mimi nipewe ban ambayo kwa mara ya kwanza nimethubutu kuapeal na kuipinga kwa nguvu zangu zote ni huyu SuperMan na kamwe naahidi siwezi kuwa na nidhamu ya woga ndani ya jukwaa hili.
Superman wewe ni mnafiki sana,umekuwa uki-preach kwamba name calling ni against
JF rules,hadi uka ni-report kwa moderators (or wewe mwenyewe ni moderator)
lakini still alicho andika Ivuga ume-like kuonesha akili yako ilivo.
You can fool watu kwamba uko smart,you're not.
View attachment 48959
kwa hiyo matola unafikiri na mimi nina alliance na watu humu jamvini? Manake umequote post inayonihusu.wakati nimepewa ban sambamba na afrodenzi ni superman huyu huyu ambaye alikuwa anaamasisha wafuasi wake waombe afrodenzi afutiwe ban kwamba moderators wamemuonea na matola ndiye mkosefu!! Haya ni mambo ya ajabu sana. Sikuwahi kujuwa kwamba kuna alliance ya watu hapa jamvini.
Kwa hasira za uonevu unaoendelea hapa JF ningependa nitamke wazi hakuna mtu mwenye uwezo wa kuniban nisitumie Internet au nisijumuike JF, bali watakachoweza ni kuban ID yangu tu na si vinginevyo, nina IP adress 10 ambazo ninaweza kuingia hapa kivingine kadri nitakavyo lakini hilo sio lengo letu JF, kwahiyo hapa tusitishanetishane na mambo ya ban huu ni utoto.Hanitishi na uMOD wake bana.
For me,to be at JF is a wonderful experience,...but to be BANNED is a gain.
Sijawahi kuwa na tatizo na wewe, zaidi ya mchuchu wako Afrodenzi siku ile kunichokoza yeye mwenyewe kwa makusudi, ili hali akijuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake JF na ni SuperMan ndio alidhani ananikomowa mimi lakini Nashukuru Mods waliona sisi wote wawili tupigwe ban. thats it!kwa hiyo matola unafikiri na mimi nina alliance na watu humu jamvini? Manake umequote post inayonihusu.
Sijawahi kuwa na tatizo na wewe, zaidi ya mchuchu wako Afrodenzi siku ile kunichokoza yeye mwenyewe kwa makusudi, ili hali akijuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake JF na ni SuperMan ndio alidhani ananikomowa mimi lakini Nashukuru Mods waliona sisi wote wawili tupigwe ban. thats it!
U better go to sleep is mid night now, huelewi msingi wa malalamiko yangu na wala huitaji Degree kujuwa kwamba Josephine hana sifa ya kubeba taji hilo regardless tunampenda na kumkubali Dr Slaa kama Rais wangu.Huu mfano wako unaingia wapi katika malalamiko ya Speaker?
Yeye anasema Josephine ana alliance na watu fulani ambao walimshindisha.
Sasa hizo alliances umeongelea ni zipi kama mlipigwa ban wote?
Mi nilidhani unaleta hii case kuwa-expose mods walivo kuonea.
dah!! basi yule mtoto alivyopigwa ban huku ndio alipotea kabisa nilimtafuta sana kila sehemu.ungempotezea tu manake ile ban sio kwamba iliwaumize nyie tu hadi sie hukuSijawahi kuwa na tatizo na wewe, zaidi ya mchuchu wako Afrodenzi siku ile kunichokoza yeye mwenyewe kwa makusudi, ili hali akijuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake JF na ni SuperMan ndio alidhani ananikomowa mimi lakini Nashukuru Mods waliona sisi wote wawili tupigwe ban. thats it!
Wewe uko wapi ambapo ni midnight?U better go to sleep is mid night now, huelewi msingi wa malalamiko yangu na wala huitaji Degree kujuwa kwamba Josephine hana sifa ya kubeba taji hilo regardless tunampenda na kumkubali Dr Slaa kama Rais wangu.
Ngoja nikuache na Ivuga hapo maana yuko lonely, mimi wacha nile chakula cha usiku! Adios.Wewe uko wapi ambapo ni midnight?
Hapa Tanga ni saa tisa na nusu...
Wakuu hapa hakuna name calling. Nikiangalia picha za kinigeria huwa naokota maneno kadhaa ya malkia; name calling ni kumtukana mtu lakini unapotaja jina la halisi la mtu si tusi.josephine ni nani..?:sleepy: samahani kwa kuuliza , wadau tunaoshinda sports kule tupo nyuma kidogo.. seems ni mdada maarufu humu JF