Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Mbona mnakuwa waoga, mpeni moyo amwandikie na mama Salma, ili kieleweke.josephine ,mchumba wa dr wa ukweli,usitishwe na Engineer manyanya huyu ni mweupe. Endelea kutoa challenge kwa wabunge ambao hawawajibiki katika kuwatumikia wananchi
Yeye si Fasti Ledi kivuli?