Kwa mfano ile kutangulia kumshukuru Katibu Mkuu wa CCM badala ya Katibu Mkuu wa CHADEMA imekupa picha gani?Nimemsikia sana!
Wanaodhani na kusambaza uvumi huo ni yale masalia yaliyokosa kura za kutosha kwenye kura za maoni 2010. Selasini ataendelea kuwa Chadema na mimi bado nina Imani naye.