Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Huyu muheshimiwa (Mbunge wa Rombo) kwa bahati mbaya hajaweka mawasiliano yake kwenye website ya CDM kama wabunge wenzake.
Nakuomba mheshimiwa kama unapita huku JF, unipatie mawasiliano yako kwani kuna mambo mengi yanayohusiana na shida za wananchi huku Rombo tunataka utusaidie kwa kufuatilia na ushauri.
Kama kuna mtu ana namba yake naiomba.
Nakuomba mheshimiwa kama unapita huku JF, unipatie mawasiliano yako kwani kuna mambo mengi yanayohusiana na shida za wananchi huku Rombo tunataka utusaidie kwa kufuatilia na ushauri.
Kama kuna mtu ana namba yake naiomba.