Joseph Selasini: Katibu Mwenezi NCCR-Mageuzi ajiunga na CHADEMA

Mkuu Chuma,

Nenda page ya kwanza,utaona wasifu wake.amesoma theolojia nk
 
..sidhani kama Mramba atagombea tena.

..sasa inabidi atafutwe mgombea mwenye uwezo wa kuongeza pale Mramba alipoishia.

NB:

..namkumbuka Leons Ngalai na makelele yake. hivi rekodi yake huko Rombo ikoje?
 
..sidhani kama Mramba atagombea tena.

..sasa inabidi atafutwe mgombea mwenye uwezo wa kuongeza pale Mramba alipoishia.

NB:

..namkumbuka Leons Ngalai na makelele yake. hivi rekodi yake huko Rombo ikoje?


Mkuu,Ngalai Alshatangulia mbele ya haki,Mungu amlaze pema pepon.Huyu mkuu nlkua navutiwa nae sana na alkua kiboko ya Mramba
 
Ben,

..unaweza kutueleza walau kwa uchache rekodi ya Ngalai[r.i.p] kama Mbunge.

..kama sijakosea kulitokea mgogoro mkubwa sana wa uchaguzi uliomhusisha Ngalai, namesahau wahusika wengine walikuwa kina nani.
 
wakuu,

Hebu niwakumbushe kidogo.Jaribuni kuunganisha tukio la selasini kujinga na CHADEMA from NCCR-Mageuzi na akatangaza kugombea ubunge immediatelly,pia kafulila katoka CHADEMA kaenda NCCR kwa kuwa kule kigoma kusini wana base imara na kwa ajili ya ubunge mwakani!

Wakuu,hili suala tulisema si zuri saaana lakini wanachadema wengine wakaja juu,so hapa tukubaliane aliyeuza cheni bandia kapewa pesa bandia


on the other hand!
Wakuu,

Mimi naona ni bora tumuunge mkono kafulila kwani mwenzetuhajatoka sana nje ya mstari.kama tulimuunga mkono Joseph selasini alipohamia CHADEMA with narrow ambitions kwa nini tushindwe kuvumilia hili?.Swala ni kuwa na malengo imara ya kujenga upinzani wenye nguvu Tanzania,sasa kama mtu anatoka tu CHADEMA anahamia NCCR tunapiga kelele,hivi ni sisi kweli tuliokua tunapigia kelele kuunganisha nguvu kwa vyama vya upinzani?

Nadhani kafulila ni jamaa jasiri sana na namuunga mkono kwa hili.Mimi naipenda CHADEMA sana na sera zake lakini kwa hili la Kafulila ni mkakati mzuri wa kisiasa ingawa sikubaliani na hii ishu ya kuvujisha siri za chama

Ndugu Zitto endelea kumpa moyo kafulila ili kigoma kusini iende upinzani mwakani
 
Kafulila alikuwa na malengo lakini alikuwa anavuruga chama tofauti na Selasini...BUT who is kafulila by the way? anatafuta umaarufu wa kisiasa tu na hakuna kingine. aweke profile yake hapa tuione.
 
mkuu Ochu,

Tofauti ya Kafulila na Selasini nimeiona mkuu kwenye ishu ya jinsi alivyoondoka.hilo nakubali but still haitoshi kumfanya aonekane kama msaliti saaana
 
wakuu,

Hebu niwakumbushe kidogo.Jaribuni kuunganisha tukio la selasini kujinga na CHADEMA from NCCR-Mageuzi na akatangaza kugombea ubunge immediatelly,pia kafulila katoka CHADEMA kaenda NCCR kwa kuwa kule kigoma kusini wana base imara na kwa ajili ya ubunge mwakani!

Wakuu,hili suala tulisema si zuri saaana lakini wanachadema wengine wakaja juu,so hapa tukubaliane aliyeuza cheni bandia kapewa pesa bandia


on the other hand!
Wakuu,

Mimi naona ni bora tumuunge mkono kafulila kwani mwenzetuhajatoka sana nje ya mstari.kama tulimuunga mkono Joseph selasini alipohamia CHADEMA with narrow ambitions kwa nini tushindwe kuvumilia hili?.Swala ni kuwa na malengo imara ya kujenga upinzani wenye nguvu Tanzania,sasa kama mtu anatoka tu CHADEMA anahamia NCCR tunapiga kelele,hivi ni sisi kweli tuliokua tunapigia kelele kuunganisha nguvu kwa vyama vya upinzani?

Nadhani kafulila ni jamaa jasiri sana na namuunga mkono kwa hili.Mimi naipenda CHADEMA sana na sera zake lakini kwa hili la Kafulila ni mkakati mzuri wa kisiasa ingawa sikubaliani na hii ishu ya kuvujisha siri za chama

Ndugu Zitto endelea kumpa moyo kafulila ili kigoma kusini iende upinzani mwakani

Tuko ukurasa mmoja mkuu Kama tulimfagilia J selasini inakuwa nongwa Kafulila kuondoka Chadema !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Nadhani ubinafsi ndiyo tataizo letu kubwa kambi ya upinzani mkuu.mkuki mtamu kwa nguruwe...
 
Ina maana hasipopewa nafasi ya kugombea huo ubunge, basi anarudi NCCR, CHADEMA kuweni macho na mtu huyu,
 
Katika tukio jingine, Dk Slaa jana alimkabidhi kadi ya uanachama wa Chadema aliyekuwa katibu wa itikadi na uenezi wa NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa kadi hiyo, Selasini alisema, ameamua kufanya hivyo ili kuendeleza mapambano ya kisiasa kupitia chama hicho ambacho alisema kimeonekana kuwa na nia ya dhati kuwafikia wananchi.

Alisema kuhamia kwake Chadema kutampa fursa ya kuwania ubunge wa jimbo la Rombo kama chama kitampitisha ili aweze kupambana na mbunge wa sasa wa jimbo hilo, Basil Mramba.

Chanzo: Mwananchi

NB:Nia yake CHADEMA ni hiyo tu? Basi ni rahisi sana kwa mamluki kujipenyeza ndani ya chama.

Hongera sana Joseph Selasini kwa kujiunga na CHADEMA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom