Joseph Mbilinyi anavochemka!

Mbona hiko kingereza ni hovyo hovyo ilimradi uchinjo dereva wa liwali!

Ni aibu sana aisee, nadhani ametoa kwa kingereza kwa sababu watu mbalimbali wanaishi Oysterbay!! ila aibu!!!
 
Sugu anahusikaje hapo?
Inavyoonesha huyo mwenyekiti aliandikiwa hiyo barua na yeye alichokifanya ni kubandika tu hiyo nembo ya halmashauri
Yaani haiingii akilini hata kidogo katika barua hihiyo moja unatumiakisanglish ,halfu english yenyewe broken mbaya
YAANI``SENSER COUNTING PEOPLE''
Inamaanisha sensa ni mtu au mashine inayphesabu watu
Hii ni aibu kwa watendaji wetu .NA UJUMBE HUO NI PUBLIC MESSAGE
 
I think this should be discussed in English...; actually the matter in point is not the heading rather the content of the attached... ;you guys should correct me if I'm wrong! Am I wrong?

My v
ery comment therefore, is that perhaps Lowasa is correct thus 'Elimu Kwanza' and Not 'Kilimo Kwanza'. The attached write-up by a senior officer of our Government justifies it all, Doesn’t it?
 
sasa badala ya kuwakomalia walioko madarakani mnataka kuwabana walio nje ya madaraka. Sasa imagine kuwa Mbilinyi kasema na kakemea then what? Utakuwa umeridhika na kujisikia vizuri!

Mimi sina shida na waziri kamili wa wizara hii wao tumeshazoea kwamba hawana jipya ila namlani kabisa Waziri kivuli kwasababu ndiyo tunaowategemea wabadirishe nchi hii, ikumbukwe kwamba wao ndiyo walioleta hata Idea ya katiba mpya bila upinzani nchi hii imekufa.
 
Huyu ni waziri kivuli wa Utamaduni lakini cha ajabu hakemei wala hasemi neno juu ya matumizi ya lugha za kigeni kwenye majarida, miswada ya sheria na kwingineko

hiivi maana ya kukaa kimya ni nini?

Freeman kama huyu jamaa kashindwa kazi tuwekee mchapa kazi ambaye anaweza kusimamia mambo haya

sensa+%281%29.jpg

Dah?! mkuu Zanzibae huru, kuna mambo kadhaa labda hujayaelewa au umeyaelewa na kupuuzia/kupotosha:
1.Sidhani ni haki au uungwana kutumia lugha hiyo kwa Joseph Mbilinyi(MB)
2.Inawezekana hujafahamu majukumu ya Serikali kupitia wizara husika na majukumu ya wizara vivuli.
3.Imani yako kwa Serikali ni kubwa kiasi cha kuamini kuwa kila wanapokosolewa/kushauriwa hukubali (CONSTRUCTIVE CRITICISM)
4.Tuhuma/malalamiko yako yangemhusisha kwanza Waziri wa Wizara husika na kujiuliza amefanya nini so far, and in addition kwa kushiriliana na Waziri kivuli wamekubali vipi ushauri waliopewa/au umekataliwa kwa misingi ipi.

Mwisho, ni vizuri kujua nani anahusishwa(The right channel) kwa sababu huyo uliyemtaja ni waziri kivuli(Yaani hata kama Waziri hatakuwepo, haimanishi kuwa yeye atakaimu ila Naibu wake), shortly yuko nje ya System(hatamu ya uongozi).
Huwezi kumlaumu Mh. John Cheyo/Prof. Lipumba/Dk. Slaa kwa makosa/uzembe uliofanywa na Rais(Just mfano tu mkuu).
 
Dah?! mkuu Zanzibae huru, kuna mambo kadhaa labda hujayaelewa au umeyaelewa na kupuuzia/kupotosha:
1.Sidhani ni haki au uungwana kutumia lugha hiyo kwa Joseph Mbilinyi(MB)
2.Inawezekana hujafahamu majukumu ya Serikali kupitia wizara husika na majukumu ya wizara vivuli.
3.Imani yako kwa Serikali ni kubwa kiasi cha kuamini kuwa kila wanapokosolewa/kushauriwa hukubali (CONSTRUCTIVE CRITICISM)
4.Tuhuma/malalamiko yako yangemhusisha kwanza Waziri wa Wizara husika na kujiuliza amefanya nini so far, and in addition kwa kushiriliana na Waziri kivuli wamekubali vipi ushauri waliopewa/au umekataliwa kwa misingi ipi.

Mwisho, ni vizuri kujua nani anahusishwa(The right channel) kwa sababu huyo uliyemtaja ni waziri kivuli(Yaani hata kama Waziri hatakuwepo, haimanishi kuwa yeye atakaimu ila Naibu wake), shortly yuko nje ya System(hatamu ya uongozi).
Huwezi kumlaumu Mh. John Cheyo/Prof. Lipumba/Dk. Slaa kwa makosa/uzembe uliofanywa na Rais(Just mfano tu mkuu).
Umemsaidia sana huyu jamaa kama ni mzanzibar sio kosa lake kuandika alichoandika kwani uku bara wa mwisho darasani akienda Zenji ni wa kwanza
 
Mie sijaelewa mavi ya mbuzi na ya ngombe yana umbo tofauti japo wote wanakula majani
 
mradi kawataja chadema sa hi karidhiiiika..... ndo maana hata serikali udhaifu wao wa kiutendaji wanawashushia chadema...


sasa badala ya kuwakomalia walioko madarakani mnataka kuwabana walio nje ya madaraka. Sasa imagine kuwa Mbilinyi kasema na kakemea then what? Utakuwa umeridhika na kujisikia vizuri!
 
Hakuna cha Great thinkers wala nini. Sasa wewe unayetoa lugha za matusi, tukiomba chanzo cha kutukana unaweza ainisha??? Tuna safari ndefu sana.
 
Ndugu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni alikuwa na ujumbe kwa ajili ya kundi fulani la watu naye akaufikisha..Kimsingi nataka kuamini kuwa Ndudu Mwenyekiti alichukua juhudi kuhariri andiko lake hilo..Naye akaamini kabisa hakukuwa na makosa ya ''nyakati'' ,''muundo'' na ''mantiki''!
Pamoja na makosa kadhaa,walengwa wa taarifa yake wameelewa ujumbe wake!Maana hapo somo kuu ni ''Sensa''.
Labda nikumbushe jambo moja muhimu hapa:Serikali yetu,pamoja na mapungufu yake,iliweka utaratubu kuwa mawasiliano yote katika ofisi za Ummma yafanyike katika lugha yetu ya Taifa ya Kiswahili ,ikiwa ni mkakati mojawapo katika juhudi za kuienzi na kuiendeleza lugha hiyo.
Sasa,ikiwa tayari kuna utaratibu rasmi unaooongoza mawasiliano katika taasisi,mashirika, wizara na wakala wa serikali,kilichokuwa kimebaki ni utekekelezaji na uekelezaji..Kwa hiyo hapo Sugu hana lawama.
 
Jamani Mh Two proud/jose/mr two/sugu anayo mambo mengi ya kufanya na sio kuangalia vitu vidogo vidogo kama hivyo,sugu kupitia cdm hawana muda wa kuangalia vitu hivyo wanachoangalia je wananchi wanatendewa haki? hawauliwi kama panya? je barabara zipo ,please come to mbeya na utaona mambo ya msingi ambayo sugu amefanya.
Na hii jamani inashiria kwamba ccm na watendaji wao wamwshindwa kazi na hiyo ndio taswira ya uongozi mbovu wa JK
 
Mnataka mmwaambie anawashwa washwa.....?? Sio Nape huyu wala serikali isiyo sikivu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom