Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,483
- 1,364
PIga Chini Airtel.. pambafu kabisa nao kumbe ni km WAFU FM
Hivi kati ya airtel na Voda nani mmbaya zaidi? Maana voda ule uzalilishaji walofanya wakuendelea umis angali wenzetu wapo wamefia majini ni mmbaya sana na hautakiwi kuvumiliwa hata kidogo