Jose Mara wa FM ACADEMIA

Wizzo

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
723
255
eti wadau wa muziki wa dance,jose mara namuona kwenye kundi la pamacha watatu,inamaana kwamba jamaa kajitoa fm academia? Au anapiga kotekote!
 
atakua anatokea wanging'ombe aisee
Sidhani kama kutokea sijui Wanging'ombe..,Kiembembuzi...au Mwanakwerekwe kwamba ye so unlucky...The Issue ni kwamba Jose anapiga deiwaka kotekote si unajua mwanaume yake ni mahangaiko?
 
pamacha pamacha pamacha hebu ngoja ni google...hii sijui ni nini pamacha watatu
 
Back
Top Bottom