Joram Kihango vs Willy Gamba

Mkuu naweza kupata wapi hiki kitabu? Hivi ni "Mikononi mwa Nunda au Nunda Mla watu? Nakumbuka pia nilisoma nikiwa darasa la 5

kuna Nunda Mla Watu, (masimulizi ktk maandishi) na Mikononi mwa Nunda(Riwaya ya Joramu Kiango)

kwa bahati mbaya sina copy kwa sasa ila ukienda kwenye serious bookshops utakipata
 
Mpaka kufikia darasa la tano nilikua nishasoma vitabu vyote vya E. Musiba (Willy Gamba),Ben R. Mtobwa (Joram Kiango), Mashimo ya mfalme Suleiman na Kile kingine cha Allan Quarterman alimo Umsolopagazi na vingine vingi.
Nimeanza mpango wa kuvikusanya na sasa nimefanikiwa kuvipata vya Allan Quarterman na Ben Mtobwa, Alfu lela ulela, vitabu vya watunzi wa Kizanzibari, pamoja na vingine vingi.

Kuna mtu anamkumbuka mpelelezi Ray Sibanda katika "Kamlete akibisha mlipue"mtunzi nimemsahau
 
Jamani naweza kuvipata wapi hivyo vitabu?

Mungu awarehemu waandishi wake imenikumbusha kijijini kwetu.
 
Ndugu zangu ukweli roho inaniuma sana mpaka mchoz unatoka nakumbuka mbali sana hasa kipindi hicho ulikuwa ni ufahali kusoma hadithi za E.msiba.jaman ndugu zangu vp naweza kuviptativa wapi hivyo vitabu ni cheki watsapp au telegram 0755 33 76 82.i miss that books
 
Mpaka kufikia darasa la tano nilikua nishasoma vitabu vyote vya E. Musiba (Willy Gamba),Ben R. Mtobwa (Joram Kiango), Mashimo ya mfalme Suleiman na Kile kingine cha Allan Quarterman alimo Umsolopagazi na vingine vingi.
Nimeanza mpango wa kuvikusanya na sasa nimefanikiwa kuvipata vya Allan Quarterman na Ben Mtobwa, Alfu lela ulela, vitabu vya watunzi wa Kizanzibari, pamoja na vingine vingi.

Kuna mtu anamkumbuka mpelelezi Ray Sibanda katika "Kamlete akibisha mlipue"mtunzi nimemsahau

Mkuu Hikma katika 'Kamlete Akibisha Mlipue' adui kubwa alijilipua mwenyewe akiwa amejifungia vile?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Sangomwile naomba nikiri kuwa kumbukumbu zangu zinagoma kunipa ushirikiano wa kutosha.
Lakini nadhani hauko mbali na ukweli, adui mkuu katika hii hadithi aliona heri ajiue kuliko kukubali kurudishwa nyumbani Tanzania kuja kuikabili fedheha kwa usaliti wake.
Mkuu Hikma katika 'Kamlete Akibisha Mlipue' adui kubwa alijilipua mwenyewe akiwa amejifungia vile?
 
Last edited by a moderator:
Ulikuwa unajisikiaje unapomuona mwenzako ameshika KUFA NA KUPONA, NJAMA, KIKOSI CHA KISASI, KIKOMO ama SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU?, LAZIMA UFE JORAM, MIKONONI MWA NUNDA, NAJISIKIA KUUA TENA!!!HEBU KUMBUKA ULIPOKUWA UNASUBURI ZAMU YAKO NA WEWE UAZIME!!!
Nimeshangazwa kujua kwamba karibia kila mwandishi bora wa nyakati hizi amefariki. Nataka tuwakumbuke na kuwaombea. Lakini ni lazima nimpongeze mwandishi bora wa nyakati hizi HUSSEIN TUWA. kwa kweli ni mkali sana hebu kwa wale wapenzi wa riwaya tutafute riwaya zake MKIMBIZI, UTATA WA 9/12 NA MDUNGUAJU

Duu! Umenikumbusha mbali mno. Ben R.Mtobwa, A.E.Musiba.
 
Mpaka kufikia darasa la tano nilikua nishasoma vitabu vyote vya E. Musiba (Willy Gamba),Ben R. Mtobwa (Joram Kiango), Mashimo ya mfalme Suleiman na Kile kingine cha Allan Quarterman alimo Umsolopagazi na vingine vingi.
Nimeanza mpango wa kuvikusanya na sasa nimefanikiwa kuvipata vya Allan Quarterman na Ben Mtobwa, Alfu lela ulela, vitabu vya watunzi wa Kizanzibari, pamoja na vingine vingi.

Kuna mtu anamkumbuka mpelelezi Ray Sibanda katika "Kamlete akibisha mlipue"mtunzi nimemsahau

nakumbuka mwaka 96 nikiwa katoto nikawa naviiba nasoma maana mama hakutaka nisome
 
Dah mmenikumbusha mbali Kweli!!
Nimesoma karibia vitabu vya magwiji wote mliowataja ila Mmemsahau Jackson Eric Kalindimya naye alikuwa moto Katika utunzi.
Baadhi ya kzi zake ni Wimbi la huzuni, Mtafutano etc
 
Nadhani bado nakumbuka kidogo............
Kufa na Kupona-Wizi wa Karatasi za Siri
Njama-Harakati za Ukombozi Kusini mwa Afrika
Kikosi Cha Kisasi-Mtanange ulikuwa pale DRC Kongo
Kikomo-Wizi wa Almas Mwadui
Hujuma-

I stand to be corrected......Hivi Mkuu wapi ntapati vitabu hivi?

unanikumbusha Hadithi zz Allan Quotaman, Mtu aliyebisha hodi usiku
 
Ninavyofahamu mimi willy Gamba hakuwa mwandishi wa vitabu vya hadithi isipokuwa ni jina lililotumiwa na mwandishi wa vitabu maarufu wakati huo ambaye sasa ni mfanyabiashara maarufu vilevile anayeitwa A.MUSIBA. Nakumbuka KITABU CHAKE CHENYE HADITHI YA KUSISIMUA YA KIPELELEZI KATIKA JIJILA KINSHASA ( KUFA NA KUPONA )cha A.MUSIBA aliyetumia jina la Wily Gamba Kama Muhusika mkuu.
safi sana maana watu wanasoma vitabu na hawaelewi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom