LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
Mkuu naweza kupata wapi hiki kitabu? Hivi ni "Mikononi mwa Nunda au Nunda Mla watu? Nakumbuka pia nilisoma nikiwa darasa la 5
kuna Nunda Mla Watu, (masimulizi ktk maandishi) na Mikononi mwa Nunda(Riwaya ya Joramu Kiango)
kwa bahati mbaya sina copy kwa sasa ila ukienda kwenye serious bookshops utakipata