Elections 2010 Jopo la CCM (taifa) kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho

Jethro

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
2,219
370
Wana JF,

Kwa taaaarifa ya kutoka kwa mtu wangu wa karibu huko Dar ameniambia Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba Kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho akiongozana na Jopo la wana CCM Taifa wengine.

Na hii ni dhahili kuwa huko Arusha ndiko kuna upinzani wa hali ya juuu sana na nguvu nyingi ya CCM imemwagwa huko kwa kuwa hakuna matumaini yeyote ya CCM kushinda kilahisi.

Kwani tunavyosikia kila kukicha vijana wengi ni kunyoosheana vidole viwili kuashiria wataipikia kura CHADEMA na hiii yote ni kuwepo na mapungufu ndani ya CCM wilaya ya Arusha esp viongozi wa CCM kutofautiana kwa hali kubwa.
Pili ni Kampeni ya Batilda ina ndugu wengi kuliko wanachama wa CCM.
Tatu Serikali ya CCM haijafanya cha maana cha kuwavutia vijana wengi kukipigia kura CCM na wanataka mabadiliko na hii ni kuwapo kwa uongozi mbovu katika mkoa huo kichama/Kiserikali.

Kutatua hilo ni kuunganisha vijana wa mji huo kuanzia UVCCM na vijana wengine kwani sasa twasikia kuwa kuna uhasama kati ya vijana wanao support CCM ambao ni wachache sana na wanatumia ubabe kwa wale vijana wanao support CHADEMA.

Pia watizame Athari ya kisiasa baada ya uchaguzi katika jimbo hili maaaana litaacha chuki na ugonvi wa hapa na pale.
 
Twamsubiri huyo kilaza wa kusawazisha mgawanyiko wa makundi ndani ya kijani !!!!! Arusha kwa sasa watu
ni kimya kimya, kama ulivyosema wanasalimiana with " V " ... final 31 OCT 2010 !!!
 
Twamsubiri huyo kilaza wa kusawazisha mgawanyiko wa makundi ndani ya kijani !!!!! Arusha kwa sasa watu
ni kimya kimya, kama ulivyosema wanasalimiana with " V " ... final 31 OCT 2010 !!!

Nasikia Gari la Maji ya kuwasha lisha tua huko na watu huko kwenye ma bar wanapiga kura ati nani atashinda na unakuta CHADEMA wanaongoza na CCM wanashindwa??

Ivi ni kweli hao wapambe wa Batilda ni watu wa profile za ajabu huko??
 
Makamba hana lolote katumwa Bukombe yakamshinda ya AR atayaweza?.Sasa hivi anakubali tu kwa kuwa anapata per diem yake, lakini kutoa suluhu ya matatizo hana uwezo huo.JK alishaambiwa mapema chama chake hakina watu makini wa kukiongoza including yeye JK. Ajiandae kukabidhi hizo ofisi za magogoni hana chake.Mwaka huu ni mwaka wa vyama vya upinzani Hata mkoloni wetu Uingereza mwaka huu kafanya mabadiliko.
 
Makamba hana lolote katumwa Bukombe yakamshinda ya AR atayaweza?.Sasa hivi anakubali tu kwa kuwa anapata per diem yake, lakini kutoa suluhu ya matatizo hana uwezo huo.JK alishaambiwa mapema chama chake hakina watu makini wa kukiongoza including yeye JK. Ajiandae kukabidhi hizo ofisi za magogoni hana chake.Mwaka huu ni mwaka wa vyama vya upinzani Hata mkoloni wetu Uingereza mwaka huu kafanya mabadiliko.

Je ni nini Tatizo hapa esp Kwa Arusha na Nyamagana? Ni Kuwa chama CCM ndicho chenye matatizo? Au ni Viongozi wanao Kiongoza chama ndioa Chanzo cha matatizo? Na kupelekea vijana wengi kusupport Opposition? Na Je ni Hatua gani hawa CCM (viongozi) wajirudi vipi kukubali mabadiliko na wapewe nafasi na hawa vijana ili wawapigie Kura kwa kipindi hiki kilicho baki? Maana Tusije sawa wakapewa upinzani Jimbo ndio niwatanzania wenzao je nao wakishindwa timiza hayo ya vijana wa kizazi kipya iweje?

 
Leo nilikuwa sehemu moja inaitwa SIDO,(kuelekea UngaLtd) ni kijiwe cha kuuza screpa za kila aina, na eneo hilo ni katika yale ambayo CCM walijimilikisha bila Uhalali, na wanadai ni lao...

Sasa kichekesho ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vibanda vya magereji na vibanda vya screpa, ni kama kilomita 1.5, kote kumebandikwa picha za JK na Batilda, hakuna zaidi ya hizo.

Lakini nikaongea na WAUZAJI hao, wanasema hakuna hata mtu mmoja wa CCM eneo hilo, bali wameweka bendera hizo ili wakae kwa amani na kuruhusiwa kufanya biashara hapo. Nimeamini hivyo kwa kuwa asilimia 70 ya wafanyabiashara hawa ni wachaga, na wana uelewa wa juu sana na siasa za Arusha..Ukikaa nao wanaongea kwa uchungu sana jinsi walivyochoka na chama hiki kikongwe, na wanasema safari hii hawafanyi kosa. Wanasema Lema wa CHADEMA ammekuja kuwakomboa!
Hakika nimeondoka eneo hilo nikiwa na AMANI, ROHO YANGU IMESUUZIKA, NIKAWA NAIMBA KWA SHANGWE!
 
Leo nilikuwa sehemu moja inaitwa SIDO,(kuelekea UngaLtd) ni kijiwe cha kuuza screpa za kila aina, na eneo hilo ni katika yale ambayo CCM walijimilikisha bila Uhalali, na wanadai ni lao...

Sasa kichekesho ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vibanda vya magereji na vibanda vya screpa, ni kama kilomita 1.5, kote kumebandikwa picha za JK na Batilda, hakuna zaidi ya hizo.

Lakini nikaongea na WAUZAJI hao, wanasema hakuna hata mtu mmoja wa CCM eneo hilo, bali wameweka bendera hizo ili wakae kwa amani na kuruhusiwa kufanya biashara hapo. Nimeamini hivyo kwa kuwa asilimia 70 ya wafanyabiashara hawa ni wachaga, na wana uelewa wa juu sana na siasa za Arusha..Ukikaa nao wanaongea kwa uchungu sana jinsi walivyochoka na chama hiki kikongwe, na wanasema safari hii hawafanyi kosa. Wanasema Lema wa CHADEMA ammekuja kuwakomboa!
Hakika nimeondoka eneo hilo nikiwa na AMANI, ROHO YANGU IMESUUZIKA, NIKAWA NAIMBA KWA SHANGWE!

Hata wale wanaovaa kofia, kanga, vitenge na T-Shirt za kijana na manjano SIO wote wanaifagilia CCM. Ila huwa ni sharti kuwa ukitaka T-Shirt lazima uende mkutanoni, wengine huwa wanavalia pale pale kadamnasi
 
CCM inatakiwa kuangalia tatizo kubwa la kukosa support Arusha siyo kuleta waropokaji kama Makamba. Wananchi hawatabadilika kwa siku moja wapigie kura CCM kwa mambo yanavyoendelea na serikali ya sasa. Strategy ya JK kabla hata ya uchaguzi ilikuwa ni kuhakikisha mafisadi wote wamepelekwa mahakamani na mahakama itoe hukumu haraka iwezekanavyo kwani ushahidi upo wa kutosha...sasa ni too late hata kina Mramba wanatumia akili..mali zote walizokuwa nazo nyingine wameuza, wametumia majina ya watu tofauti na kwasasa ni bure. Hiyo ingeipa serikali ya CCM angalau mvuto, sasa wananchi wanajua kila kitu hakuna tena zama za 1970 ...mawasiliano yapo na wanaotoa habari mbaya za CCM wapo ndani na serikali, wizara na wamechoshwa.
 


Je ni nini Tatizo hapa esp Kwa Arusha na Nyamagana? Ni Kuwa chama CCM ndicho chenye matatizo? Au ni Viongozi wanao Kiongoza chama ndioa Chanzo cha matatizo? Na kupelekea vijana wengi kusupport Opposition? Na Je ni Hatua gani hawa CCM (viongozi) wajirudi vipi kukubali mabadiliko na wapewe nafasi na hawa vijana ili wawapigie Kura kwa kipindi hiki kilicho baki? Maana Tusije sawa wakapewa upinzani Jimbo ndio niwatanzania wenzao je nao wakishindwa timiza hayo ya vijana wa kizazi kipya iweje?

Sorry mawaziri wa JK!!!
 
Makamba hana lolote katumwa Bukombe yakamshinda ya AR atayaweza?.Sasa hivi anakubali tu kwa kuwa anapata per diem yake, lakini kutoa suluhu ya matatizo hana uwezo huo.JK alishaambiwa mapema chama chake hakina watu makini wa kukiongoza including yeye JK. Ajiandae kukabidhi hizo ofisi za magogoni hana chake.Mwaka huu ni mwaka wa vyama vya upinzani Hata mkoloni wetu Uingereza mwaka huu kafanya mabadiliko.

hahahahahaha! wameangukia pua safari hiii!
 
Leo nilikuwa sehemu moja inaitwa SIDO,(kuelekea UngaLtd) ni kijiwe cha kuuza screpa za kila aina, na eneo hilo ni katika yale ambayo CCM walijimilikisha bila Uhalali, na wanadai ni lao...

Sasa kichekesho ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vibanda vya magereji na vibanda vya screpa, ni kama kilomita 1.5, kote kumebandikwa picha za JK na Batilda, hakuna zaidi ya hizo.

Lakini nikaongea na WAUZAJI hao, wanasema hakuna hata mtu mmoja wa CCM eneo hilo, bali wameweka bendera hizo ili wakae kwa amani na kuruhusiwa kufanya biashara hapo. Nimeamini hivyo kwa kuwa asilimia 70 ya wafanyabiashara hawa ni wachaga, na wana uelewa wa juu sana na siasa za Arusha..Ukikaa nao wanaongea kwa uchungu sana jinsi walivyochoka na chama hiki kikongwe, na wanasema safari hii hawafanyi kosa. Wanasema Lema wa CHADEMA ammekuja kuwakomboa!
Hakika nimeondoka eneo hilo nikiwa na AMANI, ROHO YANGU IMESUUZIKA, NIKAWA NAIMBA KWA SHANGWE!

umeteketeza bomaaa! Dah!
 
Leo nilikuwa sehemu moja inaitwa SIDO,(kuelekea UngaLtd) ni kijiwe cha kuuza screpa za kila aina, na eneo hilo ni katika yale ambayo CCM walijimilikisha bila Uhalali, na wanadai ni lao...

Sasa kichekesho ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vibanda vya magereji na vibanda vya screpa, ni kama kilomita 1.5, kote kumebandikwa picha za JK na Batilda, hakuna zaidi ya hizo.

Lakini nikaongea na WAUZAJI hao, wanasema hakuna hata mtu mmoja wa CCM eneo hilo, bali wameweka bendera hizo ili wakae kwa amani na kuruhusiwa kufanya biashara hapo. Nimeamini hivyo kwa kuwa asilimia 70 ya wafanyabiashara hawa ni wachaga, na wana uelewa wa juu sana na siasa za Arusha..Ukikaa nao wanaongea kwa uchungu sana jinsi walivyochoka na chama hiki kikongwe, na wanasema safari hii hawafanyi kosa. Wanasema Lema wa CHADEMA ammekuja kuwakomboa!
Hakika nimeondoka eneo hilo nikiwa na AMANI, ROHO YANGU IMESUUZIKA, NIKAWA NAIMBA KWA SHANGWE!

Hapo ni watu wamekichoka CCM au viongozi walioko madarakani?

Maana kaa ukijua pia ndani ya CCM kuna viongozi safi sana ambao nao wanaitaji mabadiliko sana esp Nyamagana na Arusha pia, Ila kumekuwa na siasa za ihana kwa kuwa fulani ndani ya CCM ana fweza basi yeye ndie mwenye say esp hapo kwenu Arusha mama anapata nguvu wapi maana nasikia wanatembeza siasa za ubabe na kumwaga fweza tuu.

Me nadhani huko uliko tembelea ingawa wanajua siasa na niwachaga hapo ni kaukabira kamewaingia hao wafanyabiashara wa eneo hilo sasa basi najua hao wapiga kura wanapaswa kumwondoa Diwani wao anae waletea maroroso hapo bila kujari yeye ni wachama gani anatokea bali wapate mchapa kazi na ndiko huko chimbuko lamaendeleo kokote kule duniani kwani viongozi wa ngazi ya chini ndio wako karibu sana na wanachi wa maeneo wakaayo na wakutanapo kwa vikao vya halmashauri ndipo wanapo takiwa kuibana koo serikali za mitaaa nandipo maendeleo yatakuja kwa kasi kuliko kubanana tuu na ubunge pekeyake

 
Makambaa ndio kwanzaaa anaenda kufukua kaburi la CCM arusha, hilo jimbo si lao tena maana hata Buriani mwenyewe hana mvuto arusha, so hawawezi kulikomboa hilo jimbo hata kidogo.
 
Hakuna mapana yasiyokuwa na ncha chagua.

Dr. Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa chagua chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


GO DR.SLAAAAAAA GO IKULU IKO WAZI.........................YULE MPANGAJI AITWAYE JK NA CCM YAKE TUPO KWENYE HATUA ZA MWISHO KUMTAFUTIA PANGO JINGINE LAKINI SIYO HAPO IKULU
 
......... Strategy ya JK kabla hata ya uchaguzi ilikuwa ni kuhakikisha mafisadi wote wamepelekwa mahakamani na mahakama itoe hukumu haraka iwezekanavyo kwani ushahidi upo wa kutosha...sasa ni too late hata kina Mramba wanatumia akili..mali zote walizokuwa nazo nyingine wameuza, wametumia majina ya watu tofauti na kwasasa ni bure. ..

Kwa details zako au kwa ufahamu ulio nao wadhania Mramba kafikishwa mahakamani kwa Rushwa au Matumizi mabaya ya Ofice?

Kwani wala rushwa wote hawajafikishwa mahakamani bali wale wote walitumia madaraka yao kuzindesha office za serikali vibaya ndio wako mahakamani, kwani hawaja hukumiwa kwa kura rushwa nadhani ndipo hapo mawakili wa serikali walipo chemka

 

Originally Posted by PakaJimmy
Leo nilikuwa sehemu moja inaitwa SIDO,(kuelekea UngaLtd) ni kijiwe cha kuuza screpa za kila aina, na eneo hilo ni katika yale ambayo CCM walijimilikisha bila Uhalali, na wanadai ni lao...

Sasa kichekesho ni kwamba kuanzia mwanzo hadi mwisho wa vibanda vya magereji na vibanda vya screpa, ni kama kilomita 1.5, kote kumebandikwa picha za JK na Batilda, hakuna zaidi ya hizo.

Lakini nikaongea na WAUZAJI hao, wanasema hakuna hata mtu mmoja wa CCM eneo hilo, bali wameweka bendera hizo ili wakae kwa amani na kuruhusiwa kufanya biashara hapo. Nimeamini hivyo kwa kuwa asilimia 70 ya wafanyabiashara hawa ni wachaga, na wana uelewa wa juu sana na siasa za Arusha..Ukikaa nao wanaongea kwa uchungu sana jinsi walivyochoka na chama hiki kikongwe, na wanasema safari hii hawafanyi kosa. Wanasema Lema wa CHADEMA ammekuja kuwakomboa!
Hakika nimeondoka eneo hilo nikiwa na AMANI, ROHO YANGU IMESUUZIKA, NIKAWA NAIMBA KWA SHANGWE!

umeteketeza bomaaa! Dah!

Acha ukweli uwe ukweli watu wanataka siasa za maendeleo na ndipo hawa viongozi wetu wajifunze kwa kujua kwa vitendo najua wanajua ila hawataki kukubaliana na facts za wazi
 
Back
Top Bottom