Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kwa taaaarifa ya kutoka kwa mtu wangu wa karibu huko Dar ameniambia Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba Kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho akiongozana na Jopo la wana CCM Taifa wengine.
Na hii ni dhahili kuwa huko Arusha ndiko kuna upinzani wa hali ya juuu sana na nguvu nyingi ya CCM imemwagwa huko kwa kuwa hakuna matumaini yeyote ya CCM kushinda kilahisi.
Kwani tunavyosikia kila kukicha vijana wengi ni kunyoosheana vidole viwili kuashiria wataipikia kura CHADEMA na hiii yote ni kuwepo na mapungufu ndani ya CCM wilaya ya Arusha esp viongozi wa CCM kutofautiana kwa hali kubwa.
Pili ni Kampeni ya Batilda ina ndugu wengi kuliko wanachama wa CCM.
Tatu Serikali ya CCM haijafanya cha maana cha kuwavutia vijana wengi kukipigia kura CCM na wanataka mabadiliko na hii ni kuwapo kwa uongozi mbovu katika mkoa huo kichama/Kiserikali.
Kutatua hilo ni kuunganisha vijana wa mji huo kuanzia UVCCM na vijana wengine kwani sasa twasikia kuwa kuna uhasama kati ya vijana wanao support CCM ambao ni wachache sana na wanatumia ubabe kwa wale vijana wanao support CHADEMA.
Pia watizame Athari ya kisiasa baada ya uchaguzi katika jimbo hili maaaana litaacha chuki na ugonvi wa hapa na pale.
Kwa taaaarifa ya kutoka kwa mtu wangu wa karibu huko Dar ameniambia Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba Kutua Arusha muda wowote kuanzia kesho akiongozana na Jopo la wana CCM Taifa wengine.
Na hii ni dhahili kuwa huko Arusha ndiko kuna upinzani wa hali ya juuu sana na nguvu nyingi ya CCM imemwagwa huko kwa kuwa hakuna matumaini yeyote ya CCM kushinda kilahisi.
Kwani tunavyosikia kila kukicha vijana wengi ni kunyoosheana vidole viwili kuashiria wataipikia kura CHADEMA na hiii yote ni kuwepo na mapungufu ndani ya CCM wilaya ya Arusha esp viongozi wa CCM kutofautiana kwa hali kubwa.
Pili ni Kampeni ya Batilda ina ndugu wengi kuliko wanachama wa CCM.
Tatu Serikali ya CCM haijafanya cha maana cha kuwavutia vijana wengi kukipigia kura CCM na wanataka mabadiliko na hii ni kuwapo kwa uongozi mbovu katika mkoa huo kichama/Kiserikali.
Kutatua hilo ni kuunganisha vijana wa mji huo kuanzia UVCCM na vijana wengine kwani sasa twasikia kuwa kuna uhasama kati ya vijana wanao support CCM ambao ni wachache sana na wanatumia ubabe kwa wale vijana wanao support CHADEMA.
Pia watizame Athari ya kisiasa baada ya uchaguzi katika jimbo hili maaaana litaacha chuki na ugonvi wa hapa na pale.