kintu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 540
- 133
MPELELEZI:Hebu Soma Biblia Kitabu Cha TITO 3:2.
GWAJIMA:"Kwa Ujasiri" 'WASIMTUKANE MTU YEYOTE,WASIWE WAGOMVI,WAWE WEMA,WAKIONYESHA UPOLE WOTE KWA WATU WOTE.
MPELELEZI: Je Wakati Unapohubiri Huwa Unatumia Biblia Au Kuna Kitabu Kingine? GWAJIMA: Biblia.
MPELELEZI: Soma YAKOBO 4:11. GWAJIMA: Ndugu,msisingiziane,amsingiziaye Ndugu Yake Au KUMHUKUMU Ndugu Yake,huisingizia SHERIA Na Kuihukumu SHERIA. Lakini Ukiihukumu Sheria Huwi Mtenda Sheria Bali Umekuwa HAKIMU.
MPELELEZI: Endelea Mstari Wa 12.
GWAJIMA: Mtoa Sheria Na Mwenye Kuhukumu Ni Mmoja Tu, Ndiye Awezaye Kuokoa Na Kuangamiza, U NANI WEWE UMHUKUNUYE MTU MWINGINE?
MPELELEZI: Umeelewa Maana Ya Maneno Ya Vitabu Ulivyovisoma?Ambavyo Unatakiwa Kuvifuata Na Kuvifundisha?
GWAJIMA: Jamani sioni nguvu zinaniisha jaman,
MPELELEZI: NAKUPA DAKIKA MOJA UKEMEE HALAFU TUENDELEE NA MASHWALI HADI TUIMALIZE BIBLIA, GAFLA Gwajima "CHALI" .... Itaendelea Akizinduka.
GWAJIMA:"Kwa Ujasiri" 'WASIMTUKANE MTU YEYOTE,WASIWE WAGOMVI,WAWE WEMA,WAKIONYESHA UPOLE WOTE KWA WATU WOTE.
MPELELEZI: Je Wakati Unapohubiri Huwa Unatumia Biblia Au Kuna Kitabu Kingine? GWAJIMA: Biblia.
MPELELEZI: Soma YAKOBO 4:11. GWAJIMA: Ndugu,msisingiziane,amsingiziaye Ndugu Yake Au KUMHUKUMU Ndugu Yake,huisingizia SHERIA Na Kuihukumu SHERIA. Lakini Ukiihukumu Sheria Huwi Mtenda Sheria Bali Umekuwa HAKIMU.
MPELELEZI: Endelea Mstari Wa 12.
GWAJIMA: Mtoa Sheria Na Mwenye Kuhukumu Ni Mmoja Tu, Ndiye Awezaye Kuokoa Na Kuangamiza, U NANI WEWE UMHUKUNUYE MTU MWINGINE?
MPELELEZI: Umeelewa Maana Ya Maneno Ya Vitabu Ulivyovisoma?Ambavyo Unatakiwa Kuvifuata Na Kuvifundisha?
GWAJIMA: Jamani sioni nguvu zinaniisha jaman,
MPELELEZI: NAKUPA DAKIKA MOJA UKEMEE HALAFU TUENDELEE NA MASHWALI HADI TUIMALIZE BIBLIA, GAFLA Gwajima "CHALI" .... Itaendelea Akizinduka.