Haupo mkuu believe me.kibiologia uhusiano huo upo ni mara chache sana kumkuta mtu mrefu sana ana kibamia
Hapa ndipo story ilipo hayo mengine yote ni manjonjoI ended up doing vitu vya
kijinga kama dating Diamond........
haswaaHapa ndipo story ilipo hayo mengine yote ni manjonjo
Hahaha mkuu sibora hata huyu alikuwa anamkung'uta ,Hashimu sijui alikua anamfanya nini mtoto wa watuMkuu mbona umeongea kama alikuwa anaadhibiwa na sio starehe?
Heheheheheheh vitu vya kijngaaa daaaaah diamond ndo allishaliwa hivyo"Vitu vya kijinga like dating diamond"
Hapo haelewiki 'vitu vyakijinga'.wakati jamaa kaipuliza mashine. Tena demu kipindi hicho anadai alikuwa Ana stress za mapenziKusema hivi wakati umeshaliwa ni kijifariji na kututhibitishia kuwa ameliwa na daimond
Duh,kujifariji huko wakati ndo ashaKAZWA hivyo..I ended up doing vitu vya
kijinga kama dating Diamond........
Hasheem Thabeet kwa mujibu wa Jokate
Mwegelo, alikuwa ni ‘first love’ na huenda
kuachana naye kilikuwa ni kitu kibaya zaidi
kuwahi kutokea katika maisha yake.
View attachment 425524
Mrembo huyo alikuwa akijibu swali la
PapiChulo_Chuly kwenye Twitter aliyeuliza, “Ni
tukio gani baya huwezi sahau maishani?”
“Kumwacha mtu ambaye nilikuwa nishapanga
vitu vingi sana nae kichwani. Very very
disappointing but it’s life,” alijibu Jokate.
October 2013, kwenye jarida la Vibetz,
alifunguka kuwa japo uhusiano wake na
Hasheem ulidumu kwa miaka mitatu,
walifanikiwa kuufanya usijulikane sana kwa
wengi na walikuwa wakipendana sana.
“With Hasheem, I think it was more than love.
He was my first real love,” aliliambia jarida hilo.
“Siku zote nilidhani he was my soulmate.
Kiukweli nilimpenda sana. He is like the only guy
I would drop anything at anytime for.
Nilikuwa tayari kufanya lolote kwaajili yake, that’s how
deep I loved that guy,” aliongeza.
“Nilimpenda kiukweli Hasheem, and yes kama
mwanamke mwenye kutaka kufanikiwa I’m
drawn to ambitious/successful men, you know
the go getters but my family haikunilea katika
maadili ya kujenga mahusiano yoyote katika
mhimili wa fedha,”
Jokate alieleza kujibu swali
kama aliamua kuwa na Hasheem kwasababu ya
fedha zake. “I had never wanted to use
Hasheem, all I wanted was to love him.”
Jokate alidai kuishi mbali na Hasheem ni moja
ya sababu iliyochangia kuvunjika kwa uhusiano
wao.
“Yes kuishi mbalimbali pia inaweza kuwa sababu
japo ndogo iliyochangia kuvunjika mahusiano
yetu cause sometimes I would hear a lot of stuff
and that would upset me. Nilikuwa naogopa
sana kumpoteza, I ended up doing vitu vya
kijinga kama dating Diamond.
I had issues with Hasheem na Diamond came in picture. It was a
very frustrating time for me. I was super
confused. I cried for a whole year. Like every
night I would just cry like crazy.”
Kwa sasa Jokate ana uhusiano na Alikiba.
Si kwa maana hiyo!mradi ulianza kwa majaribio kwa muda mrefu ila Hasheem ndqio mwekezaji mkubwa wa kwanza kula vu.zi washapita sana kabla ya ngongoti hajatuliza kidotimkuu si kasema hasherm ndo alikuwa first love wake ndo aliezindua mradi si wanasemaga wakwanza huwa hasauliki?
Wewe piga proportional tu apewe kitu saiz ya urefu wake utaelewa watu wanazungumza nini.mfano demu akuwa mreefu unadhani arakywa na k fupi?Urefu wake wake sidhani kama unahusiano na urefu wa maumbile ya jinsia.
aisee wanawake tuna matatizoDuh,kujifariji huko wakati ndo ashaKAZWA hivyo..
Tatizo la kuchangamkia fursa bila kufanya utafiti wa kutosha.