nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
hapana tumia maana hiyohiyo achana na hiyo maana nyingine ...lol.....Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba amemiss mkuyati wa ngongoti.
hapana tumia maana hiyohiyo achana na hiyo maana nyingine ...lol.....Kwa hiyo kwa maana nyingine ni kwamba amemiss mkuyati wa ngongoti.
Hasheem Thabeet kwa mujibu wa Jokate
Mwegelo, alikuwa ni ‘first love’ na huenda
kuachana naye kilikuwa ni kitu kibaya zaidi
kuwahi kutokea katika maisha yake.
View attachment 425524
Mrembo huyo alikuwa akijibu swali la
PapiChulo_Chuly kwenye Twitter aliyeuliza, “Ni
tukio gani baya huwezi sahau maishani?”
“Kumwacha mtu ambaye nilikuwa nishapanga
vitu vingi sana nae kichwani. Very very
disappointing but it’s life,” alijibu Jokate.
October 2013, kwenye jarida la Vibetz,
alifunguka kuwa japo uhusiano wake na
Hasheem ulidumu kwa miaka mitatu,
walifanikiwa kuufanya usijulikane sana kwa
wengi na walikuwa wakipendana sana.
“With Hasheem, I think it was more than love.
He was my first real love,” aliliambia jarida hilo.
“Siku zote nilidhani he was my soulmate.
Kiukweli nilimpenda sana. He is like the only guy
I would drop anything at anytime for.
Nilikuwa tayari kufanya lolote kwaajili yake, that’s how
deep I loved that guy,” aliongeza.
“Nilimpenda kiukweli Hasheem, and yes kama
mwanamke mwenye kutaka kufanikiwa I’m
drawn to ambitious/successful men, you know
the go getters but my family haikunilea katika
maadili ya kujenga mahusiano yoyote katika
mhimili wa fedha,”
Jokate alieleza kujibu swali
kama aliamua kuwa na Hasheem kwasababu ya
fedha zake. “I had never wanted to use
Hasheem, all I wanted was to love him.”
Jokate alidai kuishi mbali na Hasheem ni moja
ya sababu iliyochangia kuvunjika kwa uhusiano
wao.
“Yes kuishi mbalimbali pia inaweza kuwa sababu
japo ndogo iliyochangia kuvunjika mahusiano
yetu cause sometimes I would hear a lot of stuff
and that would upset me. Nilikuwa naogopa
sana kumpoteza, I ended up doing vitu vya
kijinga kama dating Diamond.
I had issues with Hasheem na Diamond came in picture. It was a
very frustrating time for me. I was super
confused. I cried for a whole year. Like every
night I would just cry like crazy.”
Kwa sasa Jokate ana uhusiano na Alikiba.
Labda anamaanisha jamaa alikuwa anaweza kufika mbali zaid na urefu wake kuliko wengineFirst love akiwa na maana ndio mwanaume wa kwanza aliyempenda wengine hakuwapenda au first love anamaanisha ndio jamaa kavumbua mgodi ?
Kama ni swala la mgodi hapo anatudanganya watu wazima
Anyway ndio maisha ya masupataa wa Bongo kila kitu ni maigizo tu
Acha tu mkuu kaaaz kwel kweel...Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana, haijawahitokea ulimwengu huu.
Hasheem Thabeet kwa mujibu wa Jokate
Mwegelo, alikuwa ni ‘first love’ na huenda
kuachana naye kilikuwa ni kitu kibaya zaidi
kuwahi kutokea katika maisha yake.
View attachment 425524
Mrembo huyo alikuwa akijibu swali la
PapiChulo_Chuly kwenye Twitter aliyeuliza, “Ni
tukio gani baya huwezi sahau maishani?”
“Kumwacha mtu ambaye nilikuwa nishapanga
vitu vingi sana nae kichwani. Very very
disappointing but it’s life,” alijibu Jokate.
October 2013, kwenye jarida la Vibetz,
alifunguka kuwa japo uhusiano wake na
Hasheem ulidumu kwa miaka mitatu,
walifanikiwa kuufanya usijulikane sana kwa
wengi na walikuwa wakipendana sana.
“With Hasheem, I think it was more than love.
He was my first real love,” aliliambia jarida hilo.
“Siku zote nilidhani he was my soulmate.
Kiukweli nilimpenda sana. He is like the only guy
I would drop anything at anytime for.
Nilikuwa tayari kufanya lolote kwaajili yake, that’s how
deep I loved that guy,” aliongeza.
“Nilimpenda kiukweli Hasheem, and yes kama
mwanamke mwenye kutaka kufanikiwa I’m
drawn to ambitious/successful men, you know
the go getters but my family haikunilea katika
maadili ya kujenga mahusiano yoyote katika
mhimili wa fedha,”
Jokate alieleza kujibu swali
kama aliamua kuwa na Hasheem kwasababu ya
fedha zake. “I had never wanted to use
Hasheem, all I wanted was to love him.”
Jokate alidai kuishi mbali na Hasheem ni moja
ya sababu iliyochangia kuvunjika kwa uhusiano
wao.
“Yes kuishi mbalimbali pia inaweza kuwa sababu
japo ndogo iliyochangia kuvunjika mahusiano
yetu cause sometimes I would hear a lot of stuff
and that would upset me. Nilikuwa naogopa
sana kumpoteza, I ended up doing vitu vya
kijinga kama dating Diamond.
I had issues with Hasheem na Diamond came in picture. It was a
very frustrating time for me. I was super
confused. I cried for a whole year. Like every
night I would just cry like crazy.”
Kwa sasa Jokate ana uhusiano na Alikiba.
Amesema first Real loveFirst love akiwa na maana ndio mwanaume wa kwanza aliyempenda wengine hakuwapenda au first love anamaanisha ndio jamaa kavumbua mgodi ?
Kama ni swala la mgodi hapo anatudanganya watu wazima
Anyway ndio maisha ya masupataa wa Bongo kila kitu ni maigizo tu
Kwan Mwana FA haikuwa official mkuuHao aliowataja ni official
Hapana kuna madogo pale St.AnthonyRizimoko na mengi ndo wa kwanza kukata utepe wake
Anatudanganya huyo wakati Hashimu Thabit akiwa Makongo anapanda daladala huyo Jokate alikuwa anakung'utwa na jamaa mmoja hivi simtajiAmesema first Real love
Ameanza kuchapwa nao akiwa form threeAnatudanganya huyo wakati Hasheem Thabit akiwa Makongo anapanda daladala huyo Jokate alikuwa anakung'utwa na jamaa mmoja hivi simtaji
Firtlove ni mtu ulieanza kumpenda.haimaanishi ndie aliemtoa bikraFirst love akiwa na maana ndio mwanaume wa kwanza aliyempenda wengine hakuwapenda au first love anamaanisha ndio jamaa kavumbua mgodi ?
Kama ni swala la mgodi hapo anatudanganya watu wazima
Anyway ndio maisha ya masupataa wa Bongo kila kitu ni maigizo tu