JOKATE na JLO wa Bongo
Wema 'mcharuko'-Blue,TID,Jumbe,Chalz Baba,Kanumba,Komba,Diamond VS Jokate 'silent killer'-AY,Mwana Fa,Hermy B(marafiki hawa)Mengi,Ruben,Hasheem,madingi wa kwenye mabenki(crdb,cba),Diamond....hawa wanafanana,kinachowatofautisha ni namna wanavyoweka ishu zao,Wema anaweka kila kitu adharani..Jokate ishu zake kmya kmya....ila wote vicheche visivyofaa.
sijutii kuwapiga picha wanaojifanya wanarun town tukiwa katika game ili ikitokea dharau kama hizi niwe natoa ushahidi...." THAT IS TOO LOW FOR ME....." kwa maana nyingine diamond sio type ya jokate..! hahahaha!
what an insult..!
hapo siongezi neno maswagga mieWema 'mcharuko'-Blue,TID,Jumbe,Chalz Baba,Kanumba,Komba,Diamond VS Jokate 'silent killer'-AY,Mwana Fa,Hermy B(marafiki hawa)Mengi,Ruben,Hasheem,madingi wa kwenye mabenki(crdb,cba),Diamond....hawa wanafanana,kinachowatofautisha ni namna wanavyoweka ishu zao,Wema anaweka kila kitu adharani..Jokate ishu zake kmya kmya....ila wote vicheche visivyofaa.
Ka Diamond ni too low kwake, je raia wa hivihivi 4th class ka wakina sie tuliokuwa tunamfikiria ndo anatuitaje sasa?!
Ka Diamond ni too low kwake, je raia wa hivihivi 4th class ka wakina sie tuliokuwa tunamfikiria ndo anatuitaje sasa?!
Nani ni how you doin'? Diamond platnumz?
Kuna msemo huwa una click kichwani mara nyingi "mwanamke yeyote anaweza kuwa vyovyote!" nafsi yangu huwa sometimes inapinga hili lakini Jokate anaanza kunilazimisha kuamini maneno haya! Binafsi the way nilivyokuwa namuheshimu Jokate inasikitisha anakoelekea huu umaarufu! Anapita njia zile zile za umaarufu usio na staha! Hebu soma hata maandishi yake hapo juu, you can smell something not "that" Jokate we used to know! Aliyebaki kama mwanadada aliyelinda heshima yake mpaka sasa na ambaye kwangu ni mfano wa kuigwa ni IRENE NGOWI! Huyu binti akiwa ameshinda shindano la face of afrika na kupata pesa na mkataba wa nguvu still alibaki na heshima ya pekee.kipindi akisoma makongo alikuwa anatembea kwa miguu mwenge mpaka makongo na kurudi ingawa angeweza kuja na gari! Sketi ya shule ilikuwa ndefu na yenye staha! Aliondoka pale makongo na heshima nyingi mpaka waalimu wote walimpenda na mpaka leo huyu binti amebaki na heshima yake na maadili ya wazazi wake! Irene Ngowi atabaki kuwa Celebrate wa pekee hapa Tanzania!
Yaani hivyo vidominishani vyako kuna watu wanaviona VINUKA MKOJO.... Level zetu tu ndo zinatufanya tuamue kumuita nani ni nani....
I trust everyone but not the davil inside them.
Ya ngoswe......
Current news zake unazijua lakini au unamsifia tu??? Kwa taarifa ndogo tu ni kuwa sasaivi kazaa na mme wa mtu. Do u call that heshima?