NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Nishaona na kusikia nyoka kajivua gamba
Lakini hili la majoka ya aina moja kujivua gamba kwa wakati mmoja na sehemu moja sijaona wala kusikia.
Kinachonisumbua zaidi ni tafsili yake nini na madhara ya majoka kujivua magamba kwa wakati mmoja ninini?
Na yakijivua yanakuwa na sura mpya au iliile yamwanzo?
Naomba wajuzi wakuanalyse wanisaidie mie tangu sikia kichwa uma hadi leo
Lakini hili la majoka ya aina moja kujivua gamba kwa wakati mmoja na sehemu moja sijaona wala kusikia.
Kinachonisumbua zaidi ni tafsili yake nini na madhara ya majoka kujivua magamba kwa wakati mmoja ninini?
Na yakijivua yanakuwa na sura mpya au iliile yamwanzo?
Naomba wajuzi wakuanalyse wanisaidie mie tangu sikia kichwa uma hadi leo