Charles Elias
Member
- Aug 14, 2012
- 61
- 4
Naomba msaada wa maelezo jinsi ya kupata joining instruction za chuo kikuu duce,maana website yao haifunguki kabisaaaa.Ahsanten!
ndani ya siku 3 zijazo kama bado hazifunguki basi nakushauri uende chuoni kabisa ili umalize dukuduku lako kabisa na uwasaidie wana JF wenzako..labda uwe mbali na Dar.